Unatumia mbinu gani kuomba showtime kwa demu ambaye hamjuani?

Unatumia mbinu gani kuomba showtime kwa demu ambaye hamjuani?

Naam naam, unaweza kutana na pisi kali ukaitamani. Hauna muda wa kuanza kuitongoza na kuidanganya unaipenda kwanza unakuta una manzi yako ambayo unaipenda kweli. Hivyo unataka zako showtime tu kila mtu ale hamsini zake.

Em marijali tushare mbinu hapa za jinsi ya kuomba showtime kwa pisi kama hii kistaarabu huku unaeza ukakuta sio malaya.
Usichochee uzinzi ndugu
 
Siku kila demu unaweza ku apply njia moja ata siku 1
 
Miaka ya nyuma, nilikutana na demu mmoja mkali sana posta, alikuwa anawahi daladala mida ya jioni, nikajitoa ufahamu kujidai namfahamu.
Akawa anakimbilia daladala nikamfuata nikampa business card.
Weekend nikaona simu inaita number mpya, akajitabulisha kuwa yeye ni.....
Tukaongea mawili matatu, akakata simu, nikamtumia 60,000 ya weekend. Haikupita dakika 10 alipiga simu, akasema ameboreka sana, hajui hata aende wapi, nikamwambia nipe location nije kukuchukua. Nilikula mzigo, hadi leo ni kipoozeo
We ndio mwanaume sasa
Wengine nyimbo nyiiingi wanataka wale mzigo hata vocha hawajatuma...
Ukifunguka bila kuombwa utakula na vya ziada
 
Back
Top Bottom