Unatumia mbinu gani kuomba showtime kwa demu ambaye hamjuani?

Unatumia mbinu gani kuomba showtime kwa demu ambaye hamjuani?

Huwa na waambia naomba utelezi..wengine wanacheka wengine wanasema ukianguka je..na wajibu ntashikilia mapaja ili nisianguke.

Nenda straight kiutani huwa wanapenda sana..kuchumoa huwa ngumu wanaishia kutukana we malaya sana wakati ushakula mzigo..

Ukiwa na geto mwambie aje wikendi unataka umpikie chakula kitamu muulize anapenda chakula gani then mtumie hela ya nauli..mwalike mje mpike wote...huo mchezo huwa hawachomoki..mademu wanapenda sana kuwa comfortable hasa geto liwe self k utazichoka mwenyewe.

Tumia ndomu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Omba date siku ya kwanza
Omba date siku ya pili
Omba date siku ya tatu hapa mwambie nataka sehemu private ambayo tunaweza kuongea wawili tu

Mchombeze

Mkuu unahela kwanza[emoji41][emoji41]
Nisije nikawa nakupa nondo halafu bando tu unakopa nipige tafu

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Omba date siku ya kwanza
Omba date siku ya pili
Omba date siku ya tatu hapa mwambie nataka sehemu private ambayo tunaweza kuongea wawili tu

Mchombeze

Mkuu unahela kwanza[emoji41][emoji41]
Nisije nikawa nakupa nondo halafu ban
Omba date siku ya kwanza
Omba date siku ya pili
Omba date siku ya tatu hapa mwambie nataka sehemu private ambayo tunaweza kuongea wawili tu

Mchombeze

Mkuu unahela kwanza[emoji41][emoji41]
Nisije nikawa nakupa nondo halafu bando tu unakopa nipige tafu
Hapo ni ku Tafuta Hela tuu🤣
do tu unakopa nipige tafu
 
Omba date siku ya kwanza
Omba date siku ya pili
Omba date siku ya tatu hapa mwambie nataka sehemu private ambayo tunaweza kuongea wawili tu

Mchombeze

Mkuu unahela kwanza[emoji41][emoji41]
Nisije nikawa nakupa nondo halafu bando tu unakopa nipige tafu
Aisee muda wote huo wa nini? Kwanini usifunguke tu
 
Ya nn kujipa kazi yote hii?

Mwanamke anayejitambua ukimwambia Tu ukweli kwamba mwenzio najisikia kusex na wewe Ila sihitaji tuwe na mahusiano maana Nina mtu mbona anakuelewa!! Wanawake wenyewe hawa siku hizi hawataki mambo ya kugandana Kama kucha.Tena ukimwambia ukweli anakushukuru Sana na kukuambia angalau wewe umesema ukweli unataka game Tu laini mambo ya kuambiana nakupenda kinafiki umekataa

Wa zamani siyo wa sasa mkuu,mambo yamebdilika,hakuna haja ya konakona
Wa Zamani Siyo wa Sasa, tukutane kwenye Tamasha Mkuu😄😄😇
 
Back
Top Bottom