Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,336
- 4,731
Habari wana jukwaa hili
Wakati mwingine mtu unapika chakula inatokea bahati mbaya kinangua sana hadi chombo kinakuwa cheusi( kwa sisi wenye masufuria ya kaida). Au nje ya sufuria ukipikia mkaa inakuwa nyeusi, kusafisha kirahisi ili iwe rahisi kufaya sufuria zetu ziwe na mng'ao wa awali.
Wakati wa kuosha unasugua hadi unachoka ila chombo kinagoma kabisa kurudia ile hali yake ya awali.
Tujuzane njia rahisi ya kusafisha.
Wakati mwingine mtu unapika chakula inatokea bahati mbaya kinangua sana hadi chombo kinakuwa cheusi( kwa sisi wenye masufuria ya kaida). Au nje ya sufuria ukipikia mkaa inakuwa nyeusi, kusafisha kirahisi ili iwe rahisi kufaya sufuria zetu ziwe na mng'ao wa awali.
Wakati wa kuosha unasugua hadi unachoka ila chombo kinagoma kabisa kurudia ile hali yake ya awali.
Tujuzane njia rahisi ya kusafisha.