Swahili AI
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 10,174
- 89,364
Mama watoto yupo site 247
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kitu umenikumbusha mbali sana ndugu yangu. Hasa pale Buguruni (Dar) kwenye mbao kuna Wezi Wabobevu. Unapigwa na kitu kizito kichwani huku unaona. Tena ni afadhali usiende na Fundi watakupiga kidogo, ukijifanya wewe ni mfuatiliaji na mbishi fundi anawatonya pale pale huku unaona na wanakushughulikia ipasavyo.Kuna fundi anaanza kukuibia kuanzia dukani mnanunua materials, anawaseti mapema kabisa jamaa wadukani..
Sasa na wewe Fundi njaa huachi hata misumari[emoji23][emoji23]Ndio kama hutaki utafte fundi mwingine, nafanyaje kazi na boss njaa boss unabana mpaka misumali kweliiii
Kwenye wakati wangu wa ufundi niliwahi kumla kimasihara mke wa boss nilikuwa nashinda nae site mpaka saa moja usiku na tulizoeana mixer utaniMama watoto yupo site 247
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mkuu ujue suala la kuiba buana ni kama hulka tu,, nikiwaza kuna mkurugenzi wa halmashauri kafutwa kazi kisa mil 2, kwann mm nsiibe misumaliSasa na wewe Fundi njaa huachi hata misumari[emoji23][emoji23]
Kusimama site bila kuwa na idea ya ujenzi ni sawa na Bure mfano unakuwa site wakati wa setting ya msingi adi unakamilisha kuakikisha vipimo viko sawa unaacha wanaoendelea unaludi wakati wa nyumba imefika madilisha kuakiki vipimo Kwa madirisha then wakati wa kufunga lenta unakuwa nao sambamba kuhusu kukuibia inategemeana na fundi mkuu kama ajielewi bas imekula kwako
Mm ningekutimua fasta na kumuita fundi mwingineNaomba nikuambie ulikutana na fundi kilaza, kuna mafundi ukimwekea ulinzi mkali ndio anakuibia
Niliwahi kupita huko 60% ya maboss hawavijui vifaa vya ujenzi kwa majina hasa hasa vya finishing
Mm nakuagizia tu vingi ukienda mwenyewe dukani ukaniletea navikataa kuwa havifai au ni vibovu urudishe, kwanza hapo nakukomoa ujuaji wako nikuingize gharama
Ukileta tena mwenyewe kwenye duka unalolijua wewe nakataa vile vile na bahati nzuri mm nilikuwa ni fundi ambae nina maisha mengine nje na ufundi hivyo sikuwa na njaa
Kuna mda umeshanipa advance hata kazi yako nmeifanya robo ukiendelea kuzingua na kazi yako naikataa nakwambia tafuta fundi mwingine mm staki niharibu kazi (nitaharibu jina langu kwa material mabovu unayoniletea) kuna vitu fake kibao kwanini tusiende wote kununua
Yaani mimi nilikuwa naenda site na gari maboss wengine wanakuja kwa mguu au boda boda kisha wasiniamini sasa hizo si zarau
Ukitaka usiibiwe tafuta pesa kwanza mlipe vzr fundi ni fundi mjinga pekee anaweza lipwa vizuri then akaiba
Hii sekta ina vitu vingi sana mkuu, kuna maboss wengine wamepata zari tu la hela ghafla na kuamua kujenga, wakiwa hawana msingi, mtu anajenga bila kujua badget kamili ya jengo lake hivyo kuna boss kuishiwa pesa na fundi ukabaki unadai ama hata kuzulumiwa kabisaMm ningekutimua fasta na kumuita fundi mwingine
Kuibia mtu mmoja si sawa na kuibia Gavo. Mtu mmoja atasuffer sana ila Gavo angalau ingawa miradi ya maendeleo itakwama[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mkuu ujue suala la kuiba buana ni kama hulka tu,, nikiwaza kuna mkurugenzi wa halmashauri kafutwa kazi kisa mil 2, kwann mm nsiibe misumali
Ntakupigaa makofi mbele ya saidia fundi wakoNaomba nikuambie ulikutana na fundi kilaza, kuna mafundi ukimwekea ulinzi mkali ndio anakuibia
Niliwahi kupita huko 60% ya maboss hawavijui vifaa vya ujenzi kwa majina hasa hasa vya finishing
Mm nakuagizia tu vingi ukienda mwenyewe dukani ukaniletea navikataa kuwa havifai au ni vibovu urudishe, kwanza hapo nakukomoa ujuaji wako nikuingize gharama
Ukileta tena mwenyewe kwenye duka unalolijua wewe nakataa vile vile na bahati nzuri mm nilikuwa ni fundi ambae nina maisha mengine nje na ufundi hivyo sikuwa na njaa
Kuna mda umeshanipa advance hata kazi yako nmeifanya robo ukiendelea kuzingua na kazi yako naikataa nakwambia tafuta fundi mwingine mm staki niharibu kazi (nitaharibu jina langu kwa material mabovu unayoniletea) kuna vitu fake kibao kwanini tusiende wote kununua
Yaani mimi nilikuwa naenda site na gari maboss wengine wanakuja kwa mguu au boda boda kisha wasiniamini sasa hizo si zarau
Ukitaka usiibiwe tafuta pesa kwanza mlipe vzr fundi ni fundi mjinga pekee anaweza lipwa vizuri then akaiba
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Duh! Kuongea ni rahisi sana!Ntakupigaa makofi mbele ya saidia fundi wako
Unachosema ni kweli kabisa hata wagonjwa wa akili huwa wanajiona wako sawa kabisa kwa wanachokiongea na kukifanya ilhali ni tofauti na mawazo wanayojiona kuwa wapo sahihi.Mkuu hiyo njia ya kuwasilisha ujumbe inaitwa confuse them wakati nikiwa masomoni prof aliniambia utakiwi hata mm(prof) sitoi code zote Kwa wanafunzi wote ila Kuna ambaye nikimuona Yuko unique Nampa maarifa ya ziada ambayo wengine awatapata maisha yao yote.
Jikite kwenye mada . Acha kuteseka sana kiasi hikiUnachosema ni kweli kabisa hata wagonjwa wa akili huwa wanajiona wako sawa kabisa kwa wanachokiongea na kukifanya ilhali ni tofauti na mawazo wanayojiona kuwa wapo sahihi.
utafanya hivyo kama fundi upo peke yako, ila kama kuna wenzio wanamezea mate hiyo hiyo nyumba, utakubali tu yaishe. bati niliagiza kiwandani kwa vipimo vya nyumba, vifaa vyote vya umeme nilienda kununua mimi mwenyewe. niko makini na haikuwa mara yangu ya kwanza kujenga, washaniibia sana miaka ya nyuma. hasa cement na nondo. kwangu mimi kama huendani na masharti yangu, nakufukuza naweka fundi mwingine. wala sisumbui akili wakati pesa nilitafuta kwa jasho langu.Naomba nikuambie ulikutana na fundi kilaza, kuna mafundi ukimwekea ulinzi mkali ndio anakuibia
Niliwahi kupita huko 60% ya maboss hawavijui vifaa vya ujenzi kwa majina hasa hasa vya finishing
Mm nakuagizia tu vingi ukienda mwenyewe dukani ukaniletea navikataa kuwa havifai au ni vibovu urudishe, kwanza hapo nakukomoa ujuaji wako nikuingize gharama
Ukileta tena mwenyewe kwenye duka unalolijua wewe nakataa vile vile na bahati nzuri mm nilikuwa ni fundi ambae nina maisha mengine nje na ufundi hivyo sikuwa na njaa
Kuna mda umeshanipa advance hata kazi yako nmeifanya robo ukiendelea kuzingua na kazi yako naikataa nakwambia tafuta fundi mwingine mm staki niharibu kazi (nitaharibu jina langu kwa material mabovu unayoniletea) kuna vitu fake kibao kwanini tusiende wote kununua
Yaani mimi nilikuwa naenda site na gari maboss wengine wanakuja kwa mguu au boda boda kisha wasiniamini sasa hizo si zarau
Ukitaka usiibiwe tafuta pesa kwanza mlipe vzr fundi ni fundi mjinga pekee anaweza lipwa vizuri then akaiba