Unatumia mbinu gani usipigwe na mafundi kwenye ujenzi?

Unatumia mbinu gani usipigwe na mafundi kwenye ujenzi?

Akiwa anachimba msingi hawezi kuiba😂

Umeiva vizuri kwenye makadirio ya materials, maana hiyo ni profession kabisa wenyewe huitwa quantity surveyors

Vipi ile site yetu bado inaendelea au umesimama? 😂
Nataka kuwa inspired na hilo bungalow lako, nami nishushe langu😂😂
😂😂😂Acha kunijaza Bungalow wanajenga wakuu. Sisi hatuna maelezo yakutoa, sisi hapo palipofika patasubiri kwanzaNilimaanisha kabisa.

Akiwaa anachimba msingi ataoverstate price kwangu halafu kwa atakaowapa dili atawapunja😂
 
😂😂😂Acha kunijaza Bungalow wanajenga wakuu. Sisi hatuna maelezo yakutoa, sisi hapo palipofika patasubiri kwanzaNilimaanisha kabisa.

Akiwaa anachimba msingi ataoverstate price kwangu halafu kwa atakaowapa dili atawapunja😂
Hutaki kukubali tu Ila upo vizuri😂
 
Back
Top Bottom