Unatumia mbinu gani usipigwe na mafundi kwenye ujenzi?

😂😂😂Acha kunijaza Bungalow wanajenga wakuu. Sisi hatuna maelezo yakutoa, sisi hapo palipofika patasubiri kwanzaNilimaanisha kabisa.

Akiwaa anachimba msingi ataoverstate price kwangu halafu kwa atakaowapa dili atawapunja😂
 
😂😂😂Acha kunijaza Bungalow wanajenga wakuu. Sisi hatuna maelezo yakutoa, sisi hapo palipofika patasubiri kwanzaNilimaanisha kabisa.

Akiwaa anachimba msingi ataoverstate price kwangu halafu kwa atakaowapa dili atawapunja😂
Hutaki kukubali tu Ila upo vizuri😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…