Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tumia sabuni ya magadi ina povu lakutosha full mtelezo na haina harufu wala kemiko, asa hiyo yenye harufu ipo siku utasikia harufu yake udise buree [emoji23][emoji23]kuna hii imekuja juzi juzi inaitwa "eva" napigia sana punyeto
Huwa najiuliza sana, kile kikaratasi kinadumu sana, sijui nini siri ya mafanikio
Sabuni ya kwenda nayo boarding, term nzima sabuni haiishi....Wazee wa bao la mkono, mnaikumbuka hii
View attachment 1263153
MagadiNimekumbuka miaka ile, kulikuwa na sabuni nzuri sana za kuogea. Mnaikumbuka Geisha? Sabuni flani hivi kubwa haswa. Ilikuwa sabuni nzuri sana.
Pia kulikuwa Revola, nilikuwa navutiwa na tangazo lake luningani. Pia wangapi wanakumbuka sabuni ya Robert Medicated Soap? Siku hizi hizo sabuni kama zimepotea hivi.
Je, kwa sasa huwa unatumia sabuni gani wakati wa kuoga?mimi siku hizi sijui kwaajili ya ubahili, natumia tu Jamaa zile za Kenya. Wewe je? Tiririka...
Hii sabuni kiboko kwa kung'arisha sufuria, ila harufu yake mmh hapana ina harufu mbaya
Hii sabuni nzuri sana.....inanukia vizuriDetto cool
Natumia Panga au Jamaaa au white washNimekumbuka miaka ile, kulikuwa na sabuni nzuri sana za kuogea. Mnaikumbuka Geisha? Sabuni flani hivi kubwa haswa. Ilikuwa sabuni⁸ nzuri sana.
Pia kulikuwa Revola, nilikuwa navutiwa na tangazo lake luningani. Pia wangapi wanakumbuka sabuni ya Robert Medicated Soap? Siku hizi hizo sabuni kama zimepotea hivi.
Je, kwa sasa huwa unatumia sabuni gani wakati wa kuoga?mimi siku hizi sijui kwaajili ya ubahili, natumia tu Jamaa zile za Kenya. Wewe je? Tiririka...
Hii sabuni nzuri sana.....inanukia vizuri
Hapana asee gwanji si zile za kigoma zina rangi nyeusi.... hapana siwezi kuogea hizo harufu yake siipendi, ni nzuri kuoshea vyombo hizo kusugua masufuria zinang'arisha hatariJaribu Gwanji ujionee.
Nyani yuko USA mzeeHapa ndio tunajua tofauti ya Tandale na Masaki
Mbona zipo kibao. Me mwenyewe natumia Dove miaka na nanunua KariakooTofauti ipo aisee
Huwezi fananisha harufu ya hizo na Jamaa hata kama zote ni sabuni
Kuna Mzungu alikuja ''summer trip'' shuleni tukiwa O-level akatugawia sabuni ya Dove for men na ya Nivea ya shower gel moja moja kwenye chupa kama hiyo.
Ile Dove sijawahi kuonaga tena bongo hata kwenye S'market mpaka leo na ukiogea ina harufu nzuri sana na hata usipojipaka mafuta inakung'arisha kama vile umejipaka, na Nivea naonaga tu body lotion na face wash.
Sawasawa sisi alituletea Bar soapMbona zipo kibao. Me mwenyewe natumia Dove miaka na nanunua Kariakoo View attachment 1906540