BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,606
- 5,922
Wajumbe wanafanya jokes Sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli..Kuna watu niliwakuta wakisema chanzo cha fungus nyingi za wanawake ni sabuni za kutengeneza za wajasiriamali. Sio salama maana hawana vipimo maalumu vya kemikali na inaua bakteria wazuri na kuleta fungus. I was shocked.
Hahaaa napenda coz ni salama ngozi inabaki the way ilivo, nikipaka na mgando wa Vaseline baaasi shuhuli imeishaAcha kuiba sabani ya mtoto..
Kidding.
Kwahiyo mkuu wewe mambo ya lotions za queen elizabeth hapana kabisa?.Hahaaa napenda coz ni salama ngozi inabaki the way ilivo, nikipaka na mgando wa Vaseline baaasi shuhuli imeisha
Vaseline natumia usoni tu coz uso uko sensitive kubadili badili mafutaKwahiyo mkuu wewe mambo ya lotions za queen elizabeth hapana kabisa?.
Sema kama una glow no problem kabisa maana unavyovitumia haviumizi ngozi kabisa.
Unapaka lotion gani saiv?Vaseline natumia usoni tu coz uso uko sensitive kubadili badili mafuta
Lotion napaka kwingine na vile hua situlii na lotion moja sasa[emoji28]
Kwasasa niko na rubiUnapaka lotion gani saiv?
Sawasawa mama...endelea kupendeza.Kwasasa niko na rubi
Ndo sabuni yangu kila uchwaoHapa ndio mkataba wangu ulipoView attachment 1263130
Ni kweli..
Mfano kuna sabuni zimeandikwa kabisa kuwa ni "Anti-bacterial"..lakini watu bado wanaogea daily..Hizi zinaua normal flora ambao ni bacteria wanaolinda sehemu mbalimbali mwilini mwetu..hawa normal flora huwa wanapambana/competition na fungus na bacteria wengine kwenye kupata chakula na mazingira mazuri ya kukua na normal flora huwa wanaibuka washindi..kuwaua kwa hizo sabuni ina maana kuwa fungus watapata mazingira mazuri ya kukua and then watasababisha infections..mfano Vaginal Candidiasis.
Anti-bacterial soaps ni kwa ajili ya kunawia mikono baada ya kushika takataka au kuoga pale mwili mzima unapohisi umekuwa exposed na hizo takataka..they are don't meant to be used on a daily normal basis.
Karibu sana mshiki akwa.Woooow, mumesema vyema juu ya hili. Nakumbuka daktari alinishauri toka shule niachane na hizi sabuni za kunukia. Yaan ni nadra naogeaga dettol. Keep up kutoa Elimu msasha
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Kuna feki zimetoka kile kikaratasi ndo cha kwanza kuloaHuwa najiuliza sana, kile kikaratasi kinadumu sana, sijui nini siri ya mafanikio
HahhahahahWazee wa bao la mkono, mnaikumbuka hii
View attachment 1263153
[emoji4][emoji4][emoji1635][emoji1635]Karibu sana mshiki akwa.