Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba unakuwa soft sana?Hayo ma shower gel yamenishinda kuogea. Mtu unatoka unateleza ka ulikuwa massage
Nitajaribuninatumia shaza ukiogea povu lake utajaza bafu,kama ukitumia ndani ya week kama una ngozi ya mafuta au muchunusi yote inatoka unabakia na ngozi soft mno
kama unataka ujaribu ndo nnayo tumia pia naziuza sabuni moja 2000View attachment 1430144
Sent using Jamii Forums mobile app
Yap. Terrible
Unazungumzia usoni tu ama
Mana nna oily skin pia ila kuanzia kwenye shingo kushuka chini ni kavuu u must moisturize
Labda pia huogei maji chumvi
Hapa ndio mkataba wangu ulipoView attachment 1263130
70% ya sabuni za nje ni fake nowdays. Tena ikiwa inatoka sana ndio utakuta ipo hadi no.3
Nilishangaa nilipoona jamaa nilonunua Morogoro ni tofauti na nilonunua Moshi!!Yah.. Na kunaBaadhi Mikoa ya Kaskazini Wanazo..
Na haina ubora kama jamaa.Yah, Arusha, Kilimanjaro na Manyara ndio sabuni yao kuu hii. Pia kuna White wash nayo inatoka Kenya japo yenyewe sii maarufu kama JAMAA.
Kitu cha Imperial kwa zaidi ya miaka 20Nimekumbuka miaka ile, kulikuwa na sabuni nzuri sana za kuogea. Mnaikumbuka Geisha? Sabuni flani hivi kubwa haswa. Ilikuwa sabuni nzuri sana.
Pia kulikuwa Revola, nilikuwa navutiwa na tangazo lake luningani. Pia wangapi wanakumbuka sabuni ya Robert Medicated Soap? Siku hizi hizo sabuni kama zimepotea hivi.
Je, kwa sasa huwa unatumia sabuni gani wakati wa kuoga?mimi siku hizi sijui kwaajili ya ubahili, natumia tu Jamaa zile za Kenya. Wewe je? Tiririka...
Azarel, Hahaha way back, nalikumbuka hilo tangazo. Mdada mmoja hivi mwembamba ndio alikuwa anajibu hivyo.
Hivi lile tangazo la Omary acha kujikuna ngwalaaa.... ngwalaaa.. lilikuwa tangazo la sabuni gani?
Kinatumia shaza ukiogea povu lake utajaza bafu,kama ukitumia ndani ya week kama una ngozi ya mafuta au muchunusi yote inatoka unabakia na ngozi soft mno
kama unataka ujaribu ndo nnayo tumia pia naziuza sabuni moja 2000View attachment 1430144
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila “eva” nadhani tumetumia wengi zaidi
[emoji13][emoji23]🤣
Kwahiyo ulivyoniambia “hujawahi” ulinidanganya?
🙌🏻🙌🏻🙌🏻Hapa ndio mkataba wangu ulipoView attachment 1263130