Unatumia sabuni gani kuogea?

Unatumia sabuni gani kuogea?

Jamani geisha bado zipo hapahapa bongo nanunua kwa mangi 2500
 
Kinatumia shaza ukiogea povu lake utajaza bafu,kama ukitumia ndani ya week kama una ngozi ya mafuta au muchunusi yote inatoka unabakia na ngozi soft mno
kama unataka ujaribu ndo nnayo tumia pia naziuza sabuni moja 2000
JPEG_20200425_160751_538740890931679799.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
70% ya sabuni za nje ni fake nowdays. Tena ikiwa inatoka sana ndio utakuta ipo hadi no.3

Kabisa chief! Mie ni mtumiaji mkubwa wa hizi imperial kuna kipindi alikuja bimkubwa mmoja toka uingereza alikuja nazo imperial za huko aise arifu ni tofauti, hata jinsi inavyoisha ni tofauti pia.
 
Nimekumbuka miaka ile, kulikuwa na sabuni nzuri sana za kuogea. Mnaikumbuka Geisha? Sabuni flani hivi kubwa haswa. Ilikuwa sabuni nzuri sana.

Pia kulikuwa Revola, nilikuwa navutiwa na tangazo lake luningani. Pia wangapi wanakumbuka sabuni ya Robert Medicated Soap? Siku hizi hizo sabuni kama zimepotea hivi.

Je, kwa sasa huwa unatumia sabuni gani wakati wa kuoga?mimi siku hizi sijui kwaajili ya ubahili, natumia tu Jamaa zile za Kenya. Wewe je? Tiririka...
Kitu cha Imperial kwa zaidi ya miaka 20
 
Back
Top Bottom