Wewe mtoto wa juzi, sisi enzi zetu japo ni wanaume, tulikuwa tunaogea GIV ya Spaniola halafu ukioga hujifuti sana ili ukienda kumtongoza kabinti kasikie harufu ya GIVKumbe, ngoja nitulie hapa njia kuu kwenye magadi
Ni ndagu yaoHivi kile kikaratasi cha kwenye "EMPERIAL" mbona huwa akiishagi au hakilowi na kuchanika! Utaoga weee utamaliza sabuni yako baada ya wiki 2 lakini kile kikaratasi pale kinabaki vile vile!
1992 ndo nilitumia
Omari! Ni kazi gani unafanya..! Kazi kujikuna tu ngwaara ngwaara...hebu chukua hiki kioo kipeleke kulee!Hahaha way back, nalikumbuka hilo tangazo. Mdada mmoja hivi mwembamba ndio alikuwa anajibu hivyo.
Hivi lile tangazo la Omary acha kujikuna ngwalaaa.... ngwalaaa.. lilikuwa tangazo la sabuni gani?
Halafu ukioga ukawa msafi unaamka asubuhi unakuta Boflo na hii:-1992 ndo nilitumia
Mkuu hakika wewe ni mhenga mwezangu. Kumbukumbu zako ziko mjarabu sana. KongoleOmari! Ni kazi gani unafanya..! Kazi kujikuna tu ngwaara ngwaara...hebu chukua hiki kioo kipeleke kulee!
Ooomari.
Tupo wengi mkuuMi natumia jamaa
Tuko pamoja.Sabuni ya magadi ndio mpango mzima.hzo zengine ni mbwembwe tu.
Hapa ndio mkataba wangu ulipoView attachment 1263130
Yah mkuu! Ni kama sabuni za jamaa zinazoketwa Tanzania ni grade 2. Ile grade 1 inabaki kulekule Kenya.70% ya sabuni za nje ni fake nowdays. Tena ikiwa inatoka sana ndio utakuta ipo hadi no.3
Ipi?Shower gell
Duu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe mtoto wa juzi, sisi enzi zetu japo ni wanaume, tulikuwa tunaogea GIV halafu ukioga hujifuti sana ili ukienda kumtongoza kabinti kasikie harufu ya GIV
View attachment 1263146
Kwahiyo huku ni dampoYah mkuu! Ni kama sabuni za jamaa zinazoketwa Tanzania ni grade 2. Ile grade 1 inabaki kulekule Kenya.
Purchasing power yetu iko chiniKwahiyo huku ni dampo
Thibitisha mwenyewe mkuu hapo kwenye maandishi...Kwahiyo huku ni dampo