Tupo pamojaSabuni ya magadi do me right...hutojutia ukitumia hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo pamojaSabuni ya magadi do me right...hutojutia ukitumia hii
DuhWazee wa bao la mkono, mnaikumbuka hii
View attachment 1263153
Zipo nzuriHayo ma shower gel yamenishinda kuogea. Mtu unatoka unateleza ka ulikuwa massage
Nilizojaribu zimenipa experience mbaya sina hamu na hayo madudeZipo nzuri
Mi nazielewa sana,hasa ile harufu yakeNilizojaribu zimenipa experience mbaya sina hamu na hayo madude
Sabuni nizipendazo hizi, ila time hii zimenitoa upele usoni sijui ni fake,,, nimehamia kwenye ASANTE ya ukwaju na asaliJamaaa,takasa,whitewash,[emoji41]
Harufu kweli. Tatizo liuteleziMi nazielewa sana,hasa ile harufu yake
Sabuni yangu ilikua geisha nyeupe toka shule ila baada ya maisha ya nyumbani na shule nikahamia magharibi ya Tz nikakutana na sabuni toka Burundi ziko poa sana nikawa addictedNimekumbuka miaka ile, kulikuwa na sabuni nzuri sana za kuogea. Mnaikumbuka Geisha? Sabuni flani hivi kubwa haswa. Ilikuwa sabuni nzuri sana.
Pia kulikuwa Revola, nilikuwa navutiwa na tangazo lake luningani. Pia wangapi wanakumbuka sabuni ya Robert Medicated Soap? Siku hizi hizo sabuni kama zimepotea hivi.
Je, kwa sasa huwa unatumia sabuni gani wakati wa kuoga?mimi siku hizi sijui kwaajili ya ubahili, natumia tu Jamaa zile za Kenya. Wewe je? Tiririka...
Umenikumbusha mbali lile tangazo la revola Redio Tanzania Dar es salaam. miaka ya 93 hiviNimekumbuka miaka ile, kulikuwa na sabuni nzuri sana za kuogea. Mnaikumbuka Geisha? Sabuni flani hivi kubwa haswa. Ilikuwa sabuni nzuri sana.
Pia kulikuwa Revola, nilikuwa navutiwa na tangazo lake luningani. Pia wangapi wanakumbuka sabuni ya Robert Medicated Soap? Siku hizi hizo sabuni kama zimepotea hivi.
Je, kwa sasa huwa unatumia sabuni gani wakati wa kuoga?mimi siku hizi sijui kwaajili ya ubahili, natumia tu Jamaa zile za Kenya. Wewe je? Tiririka...
Thibitisha mwenyewe mkuu hapo kwenye maandishi...
View attachment 1263180
Dettol" hairuhusiwi kwa watoto'' maana wakubwa wanatumia kupigia nyeto"Dettol.
Tatizo langu nikishazoea bidhaa huwa mgumu sana kuchange ghafla