Unatumia sabuni gani kuogea?

Unatumia sabuni gani kuogea?

Dah! Roberts medicated...revola kitambo sana aisee

Imperial+Jamaa ndio sabuni zangu pendwa
 
Asubuhi hiyo yenye kasha jioni hiyo isiyo na kasha
IMG_20191117_145147.jpg
 
Nimekumbuka miaka ile, kulikuwa na sabuni nzuri sana za kuogea. Mnaikumbuka Geisha? Sabuni flani hivi kubwa haswa. Ilikuwa sabuni nzuri sana.

Pia kulikuwa Revola, nilikuwa navutiwa na tangazo lake luningani. Pia wangapi wanakumbuka sabuni ya Robert Medicated Soap? Siku hizi hizo sabuni kama zimepotea hivi.

Je, kwa sasa huwa unatumia sabuni gani wakati wa kuoga?mimi siku hizi sijui kwaajili ya ubahili, natumia tu Jamaa zile za Kenya. Wewe je? Tiririka...
Sabuni yangu ilikua geisha nyeupe toka shule ila baada ya maisha ya nyumbani na shule nikahamia magharibi ya Tz nikakutana na sabuni toka Burundi ziko poa sana nikawa addicted
images.jpeg


Hapo hata nikiwa safarini au hotelini nina packet yangu kwa bag
 
Sabuni zangu ni hizi zifuatazo;

Imperial
Lux
Dove shower gel
Olay shower gel &
Palmolive shower gel.

Natumia zote kwa kupokezana either asubuhi na jioni.
 
Nimekumbuka miaka ile, kulikuwa na sabuni nzuri sana za kuogea. Mnaikumbuka Geisha? Sabuni flani hivi kubwa haswa. Ilikuwa sabuni nzuri sana.

Pia kulikuwa Revola, nilikuwa navutiwa na tangazo lake luningani. Pia wangapi wanakumbuka sabuni ya Robert Medicated Soap? Siku hizi hizo sabuni kama zimepotea hivi.

Je, kwa sasa huwa unatumia sabuni gani wakati wa kuoga?mimi siku hizi sijui kwaajili ya ubahili, natumia tu Jamaa zile za Kenya. Wewe je? Tiririka...
Umenikumbusha mbali lile tangazo la revola Redio Tanzania Dar es salaam. miaka ya 93 hivi
 
Back
Top Bottom