Unatumia sabuni gani kuogea?

Unatumia sabuni gani kuogea?

Nyeto, Ayu ilifaa sana
Kufulia, komesha, komoa, kifulaa, ariel,


Sa sasa ivi kuna sabuni flani nyeusi tii inauzwa jero,
 
Nimeongeza nyingine hii
20210829_164248.jpg
 
Tofauti ipo aisee

Huwezi fananisha harufu ya hizo na Jamaa hata kama zote ni sabuni

Kuna Mzungu alikuja ''summer trip'' shuleni tukiwa O-level akatugawia sabuni ya Dove for men na ya Nivea ya shower gel moja moja kwenye chupa kama hiyo.

Ile Dove sijawahi kuonaga tena bongo hata kwenye S'market mpaka leo na ukiogea ina harufu nzuri sana na hata usipojipaka mafuta inakung'arisha kama vile umejipaka, na Nivea naonaga tu body lotion na face wash.
Zipo natumia hizo na familia yangu miaka yote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu niliwakuta wakisema chanzo cha fungus nyingi za wanawake ni sabuni za kutengeneza za wajasiriamali. Sio salama maana hawana vipimo maalumu vya kemikali na inaua bakteria wazuri na kuleta fungus. I was shocked.
 
nilikua natumia mshindi/foma sasa nime upgrade natumia jamaa.
 
Back
Top Bottom