Unatumia unyunyu gani kwa sasa?

Unatumia unyunyu gani kwa sasa?

bway hermit [emoji23][emoji23]
IMG_20211008_165640.jpg
 
Ntakapohitaj ntakucheki mkuu, ninunue kwako or kama n kuagiza tuagize thn nifanye comparison na hii nnayotumia kwa sasa
Boss ingia website yao tu,wako vizuri sana kwenye manunuz na kukutumia mzigo..ni kampuni kubwa sana USA..mzigo wako unachagua wakutumie kwa posta,dhl au njia yoyote rahisi unayoitaka.. customer service yao ya uhakika na unaweza rudisha bidhaa ukiona sio
 
Boss ingia website yao tu,wako vizuri sana kwenye manunuz na kukutumia mzigo..ni kampuni kubwa sana USA..mzigo wako unachagua wakutumie kwa posta,dhl au njia yoyote rahisi unayoitaka.. customer service yao ya uhakika na unaweza rudisha bidhaa ukiona sio
Ushawahi kupata compliment gani amaizing kisa ya huu unyunyu mkuu?
 
Back
Top Bottom