Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Instincts for Men.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Ebwana ehh !!!! Kumbe mimi ndio sina pesa nimeamini
Nenda kapime za vibaba hapo mlimani.Ebwana ehh !!!! Kumbe mimi ndio sina pesa nimeamini
[emoji23][emoji23][emoji23] mwamba kajisahau.We jamaa muongo sana..ile creed ya 800k unayojipulizia then unapanda daladala umeimaliza?
Mousuf a.k.a Kigunia [emoji3]Niko na Mousuf, naielewa sana!
[emoji3]Ebwana ehh !!!! Kumbe mimi ndio sina pesa nimeamini
Bei ngapiInstincts for Men.
[emoji1][emoji1] axe apollo safi sana[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kaa kwa kutulia sasa
Mimi napiga body spray ya AXE APOLLO just 5k tu[emoji53]
Ishaisha ile, Nmerud kweny sauvage laki 3 na 80We jamaa muongo sana..ile creed ya 800k unayojipulizia then unapanda daladala umeimaliza?
Hela ya kununua gari bado cjapata niko na pikipiki tu [emoji3]We jamaa muongo sana..ile creed ya 800k unayojipulizia then unapanda daladala umeimaliza?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kaa kwa kutulia sasa
Mimi napiga body spray ya AXE APOLLO just 5k tu[emoji53]
Za vibaba bei gani mzee?Nenda kapime za vibaba hapo mlimani.
35k to 40k nadhanZa vibaba bei gani mzee?
Boss ingia website yao tu,wako vizuri sana kwenye manunuz na kukutumia mzigo..ni kampuni kubwa sana USA..mzigo wako unachagua wakutumie kwa posta,dhl au njia yoyote rahisi unayoitaka.. customer service yao ya uhakika na unaweza rudisha bidhaa ukiona sioNtakapohitaj ntakucheki mkuu, ninunue kwako or kama n kuagiza tuagize thn nifanye comparison na hii nnayotumia kwa sasa
Ushawahi kupata compliment gani amaizing kisa ya huu unyunyu mkuu?Boss ingia website yao tu,wako vizuri sana kwenye manunuz na kukutumia mzigo..ni kampuni kubwa sana USA..mzigo wako unachagua wakutumie kwa posta,dhl au njia yoyote rahisi unayoitaka.. customer service yao ya uhakika na unaweza rudisha bidhaa ukiona sio
Bei ganiNivea baba lao