robson kiria
Member
- Apr 11, 2014
- 73
- 106
Mm huwa nakula knowledge.ni nziri sana.na arufu yake imepoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sealed 450,000,ila zile za kupima nimeona wauzaji wakiuza 45,000.Ulichukua ile ya kupima ama ilofungwa sealed
Royar milage
Niko na Mousuf, naielewa sana!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu ni laki nane na nusu au elfu themanini na tano...?
Ntakapohitaj ntakucheki mkuu, ninunue kwako or kama n kuagiza tuagize thn nifanye comparison na hii nnayotumia kwa sasa
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mkuu ni laki nane na nusu au elfu themanini na tano...?
Kifara? KwaniniNilitafuta FIGHTING TEMPTATION nikakosa, nikachukua BLUE FOR MEN.
Wakuu, BLUE FOE MEN ni perfume ya kifara dunia nzima
Haina harufu kali ila walio karibu nawe ndo wanaiitikia harufu maridhawa, kiufupi iko vizuri.Mkuu, huu unyunyu nauona sana IG unaweza nisaidia kidogo sifa zake maana kila anayeuza marashi huko naona ana-upload picha za hii inaonekana ni kisanga[emoji16]
Heeee! Huo si mtajiNi laki nane na nusu mkuu.
Kiasi chochote cha pesa n mtaji wa mradi flan[emoji3].Heeee! Huo si mtaji
Eee hata hiyo vocha ya 5000 siwezi kuweka mwisho wangu 1000Kiasi chochote cha pesa n mtaji wa mradi flan[emoji3].
Hata 5000 unayotumia kueka bando n mtaji wa kutosha sana kwa biashara flan dr.[emoji16].
Kikubwa uishi ndan ya uwezo ulionao.
Bado ni mtaji kwa biashara flan.Eee hata hiyo vocha ya 5000 siwezi kuweka mwisho wangu 1000
Kwa kweli unyunyu na Saa ya mkononi ni vitu ninavyoweza kununua kwa bei yoyote ile.Hakika kila mtu na ulevi wake, mimi hata nikinunua unyunyu huwa nasahau hata kuupiliza, sina harufu yoyote na napenda pia harufu halisi hata mdada awe mcute vipi akiwa na manukato makali hata udi tu basi mimi nakaa mbali nae.
Kila mtu na starehe yake hakika [emoji1376][emoji1376][emoji1376]
Kwa kweli unyunyu na Saa ya mkononi ni vitu ninavyoweza kununua kwa bei yoyote ile.
Hizo ndio perfume za kiume mkuuHaina harufu kali ila walio karibu nawe ndo wanaiitikia harufu maridhawa, kiufupi iko vizuri.