BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,079
- 2,152
Hayo manukato walisema yanasaidia kung'oa watoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha wale ni watu wa quality na luxury bro..nanunua perfumes tu coz nina uhakika wa original..nguo siwezi nunua kwa bei zao zile.Nordstorms nimewacheki..naona wamejipanga..mule ni unyunyu tu au hadi pamba unachukua mule?
[emoji3][emoji3]Hayo manukato walisema yanasaidia kung'oa watoto
HahahaMkuu ni laki nane na nusu au elfu themanini na tano...?
Hahahahah Umetisha sana"Family care" ya sh (200).
zamani nilikua natumia zile za elf 35 za pale mlimani city
Ila tangu alipoingia Samia hali imekuwa tete kwa upande wangu.
[emoji23]"Family care" ya sh (200).
zamani nilikua natumia zile za elf 35 za pale mlimani city
Ila tangu alipoingia Samia hali imekuwa tete kwa upande wangu.
Hii perfume toka nazqliwa ipo tuuu [emoji119][emoji119][emoji119]Royar milage
[emoji849][emoji849][emoji849] Laki nane yote? Mkuu kwani hii ukipaka haiishi auHii nlinunua 850000 mkuu.
Hichi kitu ni hatari sana mzee wangu acha kabisaBakkarat Rouge 540..
Allure Sports..
Inaisha mkuu, ila inachukua mda sana.[emoji849][emoji849][emoji849] Laki nane yote? Mkuu kwani hii ukipaka haiishi au
Sijutii kutoa hela yangu.Hichi kitu ni hatari sana mzee wangu acha kabisa
Ulichukua ile ya kupima ama ilofungwa sealedSijutii kutoa hela yangu.
[emoji23][emoji849][emoji849][emoji849] Laki nane yote? Mkuu kwani hii ukipaka haiishi au
Hyo baccarat naona inasifiwa sana cjawah tumia, Hebu nipe uhakika kiongozBakkarat Rouge 540..
Allure Sports..
Ni bei ngapi inasomaSijutii kutoa hela yangu.