Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba niishi nawewe,,huyu Mpaji Mungu kanitolea nje hadharani eti hataki mwenza saiv namimi nazeeka tuMkuu suala la kuishi na Mwenza huwa linakuja na mambo mengi sana. Sababu zinazonifanya nimchague mwanamke fulani ili niishi naye haziwezi kulingana na unazozitaka au kuzipenda wewe. Cha msingi kama unaona ni wakati sahihi wa kuishi na mwenza basi chukua hatua za kufanya hilo jambo. watu kutegemea kupata maoni ya watu ili ndio uanze kutafuta mwenza hapo utapotea tu maana kila mtu ana vigezo na sifa anazozipendelea.
Akikupa madini usisite kushea nasiMi mwenyewe nimeshindwa nimemwambia Baba yangu mdogo anitafutie mke maana wananilazimisha nioe ila ngoma ngumu
🤣🤣🤣Nakatiza katiza huku....suala la mwenza Kwa Sasa sio kipaumbele Kwa Sasa tuangalie uchaguzi mkuu na WA serikali za mitaaa
Ubavu wangu unao wewe nini ??? 😘😘😘Naomba niishi nawewe,,huyu Mpaji Mungu kanitolea nje hadharani eti hataki mwenza saiv namimi nazeeka tu
😂😂Chokoza nyuki ule asaliUbavu wangu unao wewe nini ??? 😘😘😘
Ahsante kwa ushauriMkuu suala la kuishi na Mwenza huwa linakuja na mambo mengi sana. Sababu zinazonifanya nimchague mwanamke fulani ili niishi naye haziwezi kulingana na unazozitaka au kuzipenda wewe. Cha msingi kama unaona ni wakati sahihi wa kuishi na mwenza basi chukua hatua za kufanya hilo jambo. watu kutegemea kupata maoni ya watu ili ndio uanze kutafuta mwenza hapo utapotea tu maana kila mtu ana vigezo na sifa anazozipendelea.
tupe codes basPoleni sana vijana me mbona easy sana kuishi na wanawake mnafeli wapi
Don't make me look for someone 🙆🏿♂️😑😑😑😂😂Chokoza nyuki ule asali
Hayana muongozo ila tambua kuwa katika kila mashetani 100 kuna malaika mmoja, so it's your choiceWakuu tunaomba mtupe tips za kujua kua huyu ndo mwenza wako wa maisha yaan mke bora au mume bora. Vijana tumechoka ubachela sema tunaogopa sana ndoa emu tupeni mafunzo kidgo tusije kupigwa za kichwa kweny ndoa.
niandalie uzi niamini😌😂😂Don't make me look for someone 🙆🏿♂️😑😑😑
ushaur wa ndoa hamtaki kutoa mnaleta mamb ya uchaguzi ni mambo mazuri ila sio pahala pake🤣🤣🤣
Mimi nimeomba kuwa operator wa mfumo wa uendeshaji wa mfumo wa uandikishaji Wapiga kura.
Kesho asubuhi wangu utaukuta hapa au PM ?😊😊😊niandalie uzi niamini😌😂😂
Post #19ushaur wa ndoa hamtaki kutoa mnaleta mamb ya uchaguzi ni mambo mazuri ila sio pahala pake
Utaona mnaendana tuu, basi ujue huyo ndiye aliyekupa Mungu. Halafu upendo utakuwa si wakulazimisha kabisa, utatokea tuu automatically.Wakuu tunaomba mtupe tips za kujua kua huyu ndo mwenza wako wa maisha yaan mke bora au mume bora. Vijana tumechoka ubachela sema tunaogopa sana ndoa emu tupeni mafunzo kidgo tusije kupigwa za kichwa kweny ndoa.
Ukae hadharani bwanKesho asubuhi wangu utaukuta hapa au PM ?😊😊😊
Mi mwenyewe nimeshindwa nimemwambia Baba yangu mdogo anitafutie mke maana wananilazimisha nioe ila ngoma ngumu
Unaambiwa usiichezee nafasi ya kuwa singleNdoa za siku hizi ... Utatema ndoanoo