Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Poapoa nalala MieUkae hadharani bwan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poapoa nalala MieUkae hadharani bwan
Daah nyie ndo mnaturudisha nyuma kabsaKijana usioe ,mi natamani kuwa single ila ndio hivyo nimeshajikwaa
Kama kawa mwendo ni ule ule ukipata link usinisahau🤣🤣🤣
Mimi nimeomba kuwa operator wa mfumo wa uendeshaji wa mfumo wa uandikishaji Wapiga kura.
Kubwa la kataa ndoa nipo hapaNaomba niishi nawewe,,huyu Mpaji Mungu kanitolea nje hadharani eti hataki mwenza saiv namimi nazeeka tu
Wewe miuno muhimu tuitane tusamahani kwa kukuita jukwaa la malavidavi,,haya rudi siasani huko
Unaogopa ndoa huku una-TOMBA/TOMBWA?,.......Wakuu tunaomba mtupe tips za kujua kua huyu ndo mwenza wako wa maisha yaan mke bora au mume bora. Vijana tumechoka ubachela sema tunaogopa sana ndoa emu tupeni mafunzo kidgo tusije kupigwa za kichwa kwenye ndoa.
wewe huku hatukutakKubwa la kataa ndoa nipo hapa
Duhh kumbe iko hivyoKama umeamua kuingia ndoani jiandae kua mwanadiplomasia, vinginevyo hutoboi.
Ahsante kwa ushaur ila wapo weng na wana hela ila ndoa hazijadumu.Mdogo angu hakuna mwanamke asiyependa pesa narudia tena pesa pesa ooh.Tafuta pesa tafuta kazi then uoe.
Amina kubwa sanaHili uwe salama ni lazima uanze na Mungu hayo mahusiano na ukianza na Mungu utajua tu Kama huyo mtu ni sahihi
Sasa nyie mnakulana kila siku unafikiri utaona nini… shetani atatumia huo mwanya kukuonesha mke
Huyu ndiye mwanamke ninayemtafuta anayependa pesa na kuzitafutaUnataka uoe? Utakonda kweli,kitako kitakuwa kaukau likichwa likubwa....unaenda kupoteza furaha yako.Very sad😭😭
Natania,oa tu mkuu,tuliza kichwa utapata mtu sahihi...ila kama kigezo ni pesa,hupati asiyependa hela labda apretend
Uchagani mkuuHuyu ndiye mwanamke ninayemtafuta anayependa pesa na kuzitafuta
kuiamsha nini?Kama anaweza kuiamsha ikiwa imelala
At my own peril au sioOa for your own risk