Hapana, toka siku ya kwanza nimeusikia huo wimbo nilitokea kuupenda tu.Ever fell in depression? Back in 2020 hii ndo nyimbo niliisikiliza sana, once i had suicidal thoughts. Nashukuru Mungu niko poa now.
Ni mkorea jamaa anajuaHuyu msanii sijawahi kumsikia,nitamtafuta
Wimbo mzuri sana. Asante sana mkuuHapana, toka siku ya kwanza nimeusikia huo wimbo nilitokea kuupenda tu.
Pole sana kwa maswahibu uliyopitia mkuu.
Kile ni kinanda mkuu 😂Chorus ya "ENZI ZA UTOTONI" yake SONGA
Ila Mpaka sasa sijui maneno yanayoimbwa na kale katoto.
"Am your soul, am swi swii...mmmh...🗣️
😂
[emoji16][emoji16],kwanini kutokana na simu unayotumia?Me nadhani mtu uweke ring tone kuendana na simu unayotumia....
Binafsi zamani wakati natumia Tecno ilikuwa ni mwendo wa vibration tu....
Nilivyo-move kuja huku nilipo ndy nimeweka ring tone. Wimbo wa Bella Kombo-Milele
Hata sina sababu za msingi mkuu nadhani ni mazoea tu.Kwanini?mi naona kama vibration huwa inanishtua hasa ikiwa mfukoni,halafu ilishawahi kuniletea shida fulani kwenye usafiri wa Umma siku moja
Nipo naisikiliza muda huu, ni bonge la dude aisee liishi milele. “Live your life”Beat ya live your life, T.I ft Rihanna i can create any part of a song into ringtone through Mp3 cutter
Hivi kaka unayajuaaa malele ya Tecno kweli, alafu uweke ring tone waweza dodosha nyumba ya watu kwa mshtukoooooo[emoji16][emoji16],kwanini kutokana na simu unayotumia?