Unatumia wimbo gani kama ringtone kwenye simu yako?

Unatumia wimbo gani kama ringtone kwenye simu yako?

Ringtone yangu ni 1-800-273-8255 ya Logic na Allesia Cara
Bonge la ngoma... nakumbuka the first-time kuielewa hii ngoma ilikuwa "2017" kwenye gold-Macbook 🤯🤩 ya rafiki yangu wa karibu sana alikuwa kaja nchini kutokea marekani anapoishi akawa ananionesha Top 100 hits za BET kwa mwaka 2017 mpya!


Kwenye kuzisikiliza zile ngoma ndo nikaisikia hiyo kwa kutumia zile wired earpods za Apple! Damn! Nakumbuka nili-replay ile ngoma zaidi ya mara tano! ("5") nikai-dow load kwenye simu yangu (Samsung)


Baada ya hapo nilizielewa sana bidhaa za apple rasmi na kama zali mwana aliniachia ile Mac akarudi zake majuu! Nikisikia hii ngoma namkumbuka sana mwanangu 🥺
 
huwez amini hii sim nililetewa zawadi je ningeikataa sababu tu tecno au infinix??? niliipokea kwa mikono miwili nando naitumia
Ni kweli na vyema sana ulipokea maana ungeleta umjini usingekuwa na tambo bibie... sijui ingekuaje 😣😖


Mrembo na kitochi kwakweli ni ukatili na unyanyasaji wa jinsia 😅👍🏾
 
Ni kweli na vyema sana ulipokea maana ungeleta umjini usingekuwa na tambo bibie... sijui ingekuaje 😣😖


Mrembo na kitochi kwakweli ni ukatili na unyanyasaji wa jinsia 😅👍🏾
mkuu ndio uwezo wake wa kununua hicho kitochi, na mimi nimeridhika nacho ningemwambia niletee iphone akanijibu hovyo ningesema nimetukanwa wakat nimetaka mwenyewe
 
mkuu ndio uwezo wake wa kununua hicho kitochi, na mimi nimeridhika nacho ningemwambia niletee iphone akanijibu hovyo ningesema nimetukanwa wakat nimetaka mwenyewe
We ni mwanamke au female robot lililopachikwa akili timamu za bibadamu fulani wa kipekee?!
 
Kuweka wimbo wa kuitia inategemea na aina ya simu .. kuna wale wa nanii ni ringtone ya kwenye simu

Hapana sio lazima, ipo namna ya ku customize any wimbo uwe ringtone, inategemea umahiri wa mtumiaji wa ile kampuni ta tunda.

Ingawa vijana wanapenda iitie kale ka wimbo pendwa ka mauzo[emoji3]
 
Back
Top Bottom