Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ijaribu mkuu ulete mrejeshoNdio nimeujua Leo,Gospel ya zamani ila nzuri
Wazee wa macho tatu[emoji28] huyu msanii gani tena,au msanii ni simu yenyewe?
Nimeukata, Natembea na instrumental, huu wimbo una kahistoria Fulani la Jimbo nililolipoteza kizembe.Huu unaanza na instrumental,we umeweka uanzie mwanzo au umekata?
Wakuu,
Kila mtu ana ladha yake kwenye kuweka muito wa simu(ringtone),wengine hutumia ringtone zilizokuja na simu na wengine hutumia(local ringtone)yaani ile miziki alizohifadhi kwenye simu yake kutokana ya aina ya muziki anaopendelea,wengine huweka mahubiri,wengine sauti ya wanyama,background za movie nk.
Na kuna wale wa vibration full time(hawa ndio nahisi huwa hawapokei namba ngeni(sijui kwanini[emoji848][emoji3])
Pia,wengine huweka ili kutofautisha aina ya wapigaji kwenye simu yake.
Mimi natumia wimbo wa Man down wa Rihanna sababu unaanza na beat zuri lililochanganika na king'ora cha polisi hivyo ni rahisi kusikia.
Wewe unatumia ringtone ipi? na kwanini?
Karibu.
]