Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Sidhani kama itateseka, watu wengi sana wanakipato chini ya 10k a day lakini bado wanasevu.
Saving hata kama atasave 50000 halafu nyingine ataipeleka kwenye matumizi ya familia yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama itateseka, watu wengi sana wanakipato chini ya 10k a day lakini bado wanasevu.
Lazima familia waishi kulingana na kipato chao.
Hayo yote yasikupe stress, tafuta kitabu cha the richest man in Babylon
Hicho kitabu kitamtatulia hayo anayoyaona changamoto kwakeNimeweka soft copy post #33 Mkuu.
Kama hauwezi ku save Kwa 300k, hata ulipwe kiasi Gani hautaweza ku save.
OkaySidhani kama itateseka, watu wengi sana wanakipato chini ya 10k a day lakini bado wanasevu.
Saving hata kama atasave 50000 halafu nyingine ataipeleka kwenye matumizi ya familia yake.
Jamani wanajamiiforums ninapokea mshahara laki tatu na nina mke na watoto wawili ninalipa kodi 30,000 kwa mwezi, kinachonitesa ni hesabu za kubalance mpaka hiyo hela ieneee mpaka mwisho we mwezi nifanyaje ili niweze kubakisha kiasi niweke akiba.
Msaada wenu please..
Kama kaoa mzaramo hiyo 150 itanunua vijora yoteSuala la kuweka akiba ni suala muhimu na zuri sana katika maisha yetu! weka asilimia 5% ya kipato chako iwe akiba yako kila mwezi. Zinazobakia...mpe mke wako 150,000/ hela ya matumizi kwa Mwezi mzima ( sifa za mwanamke ni kuhakikisha anabalance fedha hiyo kwa Mwezi mzima na itoshe) jitahidi chakula Cha familia kinunuliwe kwa ujumla, sabuni za kufua zisisahaulike, mpe nafasi mkeo atafute chochote kitu ili kuongeza Pato la familia. Inawezekana!; Baba lipa maji na umeme, lipa Kodi, hakikisha una emergency ya sh. 10,000 tu kila mwezi.
Ishi na huu ushauri 👆👆Aisee, Kuna Muda inabidi kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa alilokujaalia. Kuna watu hiyo 300k ni posho yake ya mawasiliano au ndio posho ya kikao cha siku mbili...
Bajeti ya 300k kwa mwezi.
Kila siku utumie 10k.
Ina maana hapo unatakiwa upige hesabu kwa siku 10k unaitumiaje?
Chakula pekee tenga 6k
Kodi tenga 1k, hapo inabaki 3k.
Chukua 1k weka akiba.
Chukua 2k ifanye nauli na contingency.
Kupanda pikipiki ni anasa. Hiyo laki tatu means kila siku elf 10 kwa nn isotoshe?. Labda kama ana plan za kulewa au kuvaa vizuriHakuna kulipia kingamuzi, hakuna kupanda boda, maji, ya kunywa unachemsha,
Hawa hawa wanawake wenye vikundi vya kufa na kuzikana jumlisha vikoba! Ukiwa na hasira utamtimulia mbali.Ukitaka kuishi bila stress ukipokea tu mpe mkeo hela yote hata matumizi yako akupangie yeye. Wanawake wanajua kubana na kutunza pesa
Ndugu siyo wa kuamini sana, kilimo Cha simu ni kigumu kupita maelezo, siku unaenda unaomba akupeleke shamba mnatembea vizuri mnafika sehemu anakwambia shamba lilikuwa hapa sijui limeenda wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakikisha unakodi shamba ekari moja. Lima mahindi nusu eka na maharage nusu eka.
Hapo utakuwa kwanza umetatua changamoto ya misosi.
Wapigie simu ndugu zako kijijini wakutafutie shamba la kukodi.
Tuma hela ya kulimia, mbegu na mbolea.
Kwa mwaka utaweza kuokoa hadi Tsh milioni moja kwenye gharama za chakula.
Dah. Kama mke wake ni mama wa nyumbani, anaweza kumtuma afuatilie mambo ya shamba...Ndugu siyo wa kuamini sana, kilimo Cha simu ni kigumu kupita maelezo, siku unaenda unaomba akupeleke shamba mnatembea vizuri mnafika sehemu anakwambia shamba lilikuwa hapa sijui limeenda wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu unazungumzia kigamboni ya shinyanga au kigamboni ya daslam [emoji1787]Pambana mkuu tukanunue chaka huko kigamboni naskia mpaka laki 9 unapata eneo. Mwaka huu najipatia na mm ili kukata ukali wa maisha nitakapoyaanza rasmi
Kigamboni kubwa mkuu ongea na watuMkuu unazungumzia kigamboni ya shinyanga au kigamboni ya daslam [emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app