Unatumiaje laki tatu kwa mwezi?


Sembe robo mchana 600/=

Mchicha 1,000/= ( napika wa mchana na usiku kabisa kulinda gas)

Dagaa 500/ ( wa mchana na usiku)

Nyanya 200/=

Kitunguu 100/=

Mchele wa usiku 2,000/=

Kodi 1,000/=

Nauli 1,000/=

Total 6,400/= per day ningekua mimi ningetumia hivi mpaka wote wate wawil
tupate kazi au kipato kiongezeke

Mambo mengne yote ningejibana bana ilimradi matumizi yote yasizidi elf8 yani piga ua lakini nibakishe elf2 kwa usiku ama elf1 miatano hata kaka nile mlo mmoja tu mimi na mume wangu ama nikipika mara moja hakuna kurudia
 
Kama kaoa mzaramo hiyo 150 itanunua vijora yote
 
Ishi na huu ushauri 👆👆
 
Ukitaka kuishi bila stress ukipokea tu mpe mkeo hela yote hata matumizi yako akupangie yeye. Wanawake wanajua kubana na kutunza pesa
Hawa hawa wanawake wenye vikundi vya kufa na kuzikana jumlisha vikoba! Ukiwa na hasira utamtimulia mbali.
 
Ndugu siyo wa kuamini sana, kilimo Cha simu ni kigumu kupita maelezo, siku unaenda unaomba akupeleke shamba mnatembea vizuri mnafika sehemu anakwambia shamba lilikuwa hapa sijui limeenda wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndugu siyo wa kuamini sana, kilimo Cha simu ni kigumu kupita maelezo, siku unaenda unaomba akupeleke shamba mnatembea vizuri mnafika sehemu anakwambia shamba lilikuwa hapa sijui limeenda wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah. Kama mke wake ni mama wa nyumbani, anaweza kumtuma afuatilie mambo ya shamba...
 
Laki tatu unatoboa vizuri tu na akina unaweka.....fanya hv nunua mchele kilo 15 @2200 =33000...ings kilo 10 @1300=13000 sukari kilo 1 = 2800 lipa umeme 10000 maji 5000 mafuta lita tano sh 23000 vyote hvyo jumla 86800.....inabaki sh 213200....mpe mkeo laki moja awe anapangilia mboga....inabak 113200....weka gsi mtungi mdogo wa 24000...inabak 89200.....chukua elfu 30000 weka akiba na iliyobak hapo kama 59200 fanya nauli na matumizi yako mengine kama vocha......Maisha mipango tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…