Mathias Lyamunda
JF-Expert Member
- Apr 4, 2013
- 1,369
- 559
CCM hadi huku Lowasa kawapiga hahahaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdioooJe,utaunga mkono uamuzi wowote wa kumfanya Lowassa awe mgombea uraisi kwa ticket ya CHADEMA/UKAWA endapo uamuzi huo utafikiwa?
Jibu Ndio/Hapana/Sijui
Kura hii inawahusu Pro-UKAWA wote na wengine wenye kuunga mkono umoja huu tu.
umwana wa mai
Vyama na watu na majina tu.
Adui mkuu wa maendeleo na ustawi wa waTz ni MFUMO mbovu unaolelewa na KATIBA mbovu, na vyote hivi vinakibeba chama tawala (kwa sasa ni CCM).
Jambo lolote linalosaidia kuing'oa CCM na mfumo mbovu uliopo niliunga mkono.
Ndioooo...