Elections 2015 Unaunga mkono Lowassa kuhamia CHADEMA na kuwa mgombea Urais?

Elections 2015 Unaunga mkono Lowassa kuhamia CHADEMA na kuwa mgombea Urais?

Unaunga mkono Lowassa kuhamia CHADEMA na Kugombea Urais?

  • NDIYO

    Votes: 318 59.8%
  • HAPANA

    Votes: 214 40.2%

  • Total voters
    532
  • Poll closed .
Je,utaunga mkono uamuzi wowote wa kumfanya Lowassa awe mgombea uraisi kwa ticket ya CHADEMA/UKAWA endapo uamuzi huo utafikiwa?

Jibu Ndio/Hapana/Sijui

Kura hii inawahusu Pro-UKAWA wote na wengine wenye kuunga mkono umoja huu tu.
Inakuwa vipi poll iishe september wakati ambapo mgombea atakuwa tayari amejulikana. kwa nini isingefanyika hata kwa wiki moja au mbili tu ili ibakie kuwa relevant na maoni yawe sio kwa kutegemea yaliyokwisha kufanyika.
 
Salary Slip votes nyingi za hapana zinatoka kwa magamba, so update uzi kuwahabarisha members kuhusu hili!
Uzuri hawawezi badili muelekeo zaidi ya labda kupunguza gap tu kwenye hizo kura.

Naamini ulichokisema kila mtu anakijua.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom