Unavaa size gani ya kiatu?

Unavaa size gani ya kiatu?

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji38][emoji38][emoji38][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
45 lakini cha ajabu...nikivaa kinanibana,kwahyo kila nikinunua kiatu,naenda kwa fund akitanue /boost maaana vidole vya mbele vinene na vipana....hii inapelkea kuvaa open shoes mwaka hadi church...hata nje ya bongo.Navaa open shoes mwaka wa 5 sasa
 
Naam

Aisee katika changamoto nazipitia katika haya maisha ni linapokuja swala la kiatu Cha kuvaa .

Nina miguu mikubwa sana mguu wa kushoto navaa namba 45 na wa kulia navaa namba 45 na nusu

Viatu vya mguu wangu gharama sana

Dukani ukitaka vile vya ngozi sio chini ya 100k

Na vya mtumba vya ngozi sio chini ya 35k

Vitu vya mtaani vile wanavyopanga vya buku kumi kumi havinifai maana stail yangu kutembea nashusha kishindo Cha haja ardhini .Nimejaribu sana kuacha hio tabia kutembea kiminyato[emoji3]nimeshindwa

Wakati mwingine naweza pata viatu hivyo vya saizi yangu still vinakuwa vinanibana bado[emoji45]

Hii ni kutokana na mguu wangu mmoja una dole kubwa sana na pana[emoji1787]

Daah Ni changamoto kweli

Wewe je unavaa sauzi gani ya kitu.?

Ni changamoto zipi unapitia?

Karibuni watanashati na wanalimbwende[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi navaa 45 au 9.

Nakumbuka wakati nipo form three ama form four nilikuwa navaa viatu vya faza na vikinikaa karibia kunibana.
 
Aisee mimi pia nina mguu mkubwa na mwili mdogo,navaa 44 kama sio 45.

Nilikua najifanya natafuta kiatu kidogo ili nisionekane navaa zinga la kiatu,weee asikuambie mtu maumivu ya kuvaa kiatu kinachokubana.

Sahivi nimekubaliana na hali bora nivae kiatu kikubwa tu ila niwe na raha na amani.
 
Back
Top Bottom