Unavyoambiwa Kuwa Wamisri wa Kale walikuwa soo unatakiwa uwe unaelewa

Unavyoambiwa Kuwa Wamisri wa Kale walikuwa soo unatakiwa uwe unaelewa

Tani saba tofali moja walikuwa wanabebaje sasa.
Niliona documentary moja jinsi walivyojenga Pyramidy na kuvumbua maandishi..
Ipo hivi..
Zamani kulikua na wanyama flani jamii ya tembo wakuuubwa sanaa ndio wqlitumika kwenye ujenzi wa hayo majengo, pia walitumia njia ya magogo. Walipanga magogo njiani kisha wanaweka tofali juu ya magogo then wanalisukuma lina tereza kwa urahisi...

For more infos about tech &science.
Tizama Da Vinci Learning chanel kipindi cha Quirk Science
 
hapo kwenye uzito wa pyramid kuna ukakasi kidogo maana umesema ina uzito wa tani milioni 6.5 na ilitumia tofali milioni 2.3 na kila tofali 1 lina uzito wa tani 7 nikizidisha idadi ya tofali na uzito wa kila tofali napata ivi 2.3 milion × tani 7= tani milioni 16.1
Watu wa namna hii ndio huwa nawakubal kwenye maisha kudos mkuu kwa kwenda extra mile
 
Kila zama na maajabu yake wao walijenga hilo pyramid wa sasa wana 3D screens, wana Instagram n.k
Usisahau colour pictures
Imagine pamoja na innovations zote tulizofanya, bado tuko amazed na hizo pyramids, naamini vizazi vingi badae watashangaa bado ,na si hizi za kwetu sasa.
Instagram ni uvumbuzi wa kushangaza?
 
Bado kuna siri kubwa katika elimu waliyoitumia watu wa zamani, facts na researches zilizofanyika bado hazijapata hata robo ya ukweli wa elimu na ujuzi uliotumika zamani
 
Hii historia ya ujenzi wa piramid za misri ni moja ya mambo yanayo nipa ukakasi,na hii inatokana na elimu iliyotumika,nguvu zilizotumika,teknolojia n.k hebu fikiria tofali la tone saba kwa binadamu ambaye hata baiskeli alikuwa haja vumbua aliwezaje beaba tofali hilo kuna mambo mengi ya kujifunza kama teknolojia yetu ya sasa inasonga mbele au inarudinyuma miaka mingi kabla hata ya mapiramida ya misri.
 
Kosa letu kubwa pamoja na uhuni uliofanywa na watu weupe wa kuwaua wabantu wa pale kemet na kufuta ukweli wa mambo yaliyofanywa pale na wabantu wale jamaa walizika siri zao. sizani kama kuna mtu mweupe aliyefanikiwa kuchukua hayo material kwani wakazi waliopo misri siku hizi pale si kwao wamejaribu kuingia mapangoni wameshindwa codes au password zilizowekwa hakuna anayezijua mpaka mtu sahihi aje pale mbantu na huyo mtu sahihi yupo busy kawa brain washed

Kwenda kuomba kwenye mizimu ya watu weupe kaacha mizimu inayo muhusu (dini za kibantu) sasa ana hangaika kuomba mizimu mababu wa wenzetu (christian islamic budha n.k) anaenda kutambika (pilgrimage israel na maka) anaacha kwenda kwao.
 
Hao unaowaita wewe wa misri wa kale,sio hao waarab unaowaona hapo na wala sio waisrael bali ni Waafrika kama mimi na wewe.Wazungu wakifika kwenye swala la pyramid wanapagawa kwanini waliwaita waafrika kua ni watu nusu.......
 
Hii historia ya ujenzi wa piramid za misri ni moja ya mambo yanayo nipa ukakasi,na hii inatokana na elimu iliyotumika,nguvu zilizotumika,teknolojia n.k hebu fikiria tofali la tone saba kwa binadamu ambaye hata baiskeli alikuwa haja vumbua aliwezaje beaba tofali hilo kuna mambo mengi ya kujifunza kama teknolojia yetu ya sasa inasonga mbele au inarudinyuma miaka mingi kabla hata ya mapiramida ya misri.
Jinsi binadamu wanavyozidi kuishiwa ngubu kufikia mwaka 2200 kitofali cha kuchoma watakua wanabeba watu wawili
 
hapo kwenye uzito wa pyramid kuna ukakasi kidogo maana umesema ina uzito wa tani milioni 6.5 na ilitumia tofali milioni 2.3 na kila tofali 1 lina uzito wa tani 7 nikizidisha idadi ya tofali na uzito wa kila tofali napata ivi 2.3 milion × tani 7= tani milioni 16.1
Ooh Swali Nzuri Sana, Mzee hapo kwenye Uzito wa pyramid nilikuwa nazungumzia Lile Pyramid Pekee! Bila Msingi wake Ardhini na Makaburi yaliyo chini yake! Ukubwa Wa Pyramid unaoonekana nje unakaribiana na ukubwa Kwa chini yake. huko ndiko kuna makaburi mengi Nadhani tumeelewana. Asante
 
Wa2 wa zamani walikuwa ni ma-giant sana,unaweza kuta m2 mmoja ni sawa na muunganiko wa watu mia moja wa hivi sasa,kwa kuwa kuna baadhi ya maandko yanadai kuwa hata Ibrahim (Baba yetu katka imani walikuwa na urefu wa futi 12) na Ibrahim nadhani alizaliwa baadae sana Wamisri wakiwa tayar wameshajenga hizo Pyramids (but I am not sure with this phenomenon)
Pia,yaaminika mwanadamu alianza kuwa mfupi na kuwa na akili (ufaham na utashi) kidogo baada ya kutenda dhambi so,sishangai!
Hapana Mbona Mummy's Kule Egypt za Kale watu wake ni sawa tu na wa leo!
 
Jamani acha ukweli uwe ukweli, pamoja na maajabu ya teknolojia ya zama za pyramid lkn ukweli ni kwamba TEKNOLOJIA imefika kwenye kilele chake kwenye zama hizi mpk inatisha! Kwa wale tunaoamini ktk Bible tunaweza hisi muda wa mwisho wa Dunia ndio huu km ilivyoandikwa kwamba kutakuwa na Teknolojia ya hali ya juu .
Si rahisi kwa sisi tuliopo kwenye dunia ya 3 kuliona hili , ila wenzetu huko juu wako mbali sana kwenye Teknolojia hasa kwenye fani za tiba, silaha , Usafiri nk
 
Ooh Swali Nzuri Sana, Mzee hapo kwenye Uzito wa pyramid nilikuwa nazungumzia Lile Pyramid Pekee! Bila Msingi wake Ardhini na Makaburi yaliyo chini yake! Ukubwa Wa Pyramid unaoonekana nje unakaribiana na ukubwa Kwa chini yake. huko ndiko kuna makaburi mengi Nadhani tumeelewana. Asante
Hakuna makaburi chini ya piramidi. Piramidi zilijengwa kama kaburi la mfalme mmoja, labda pamoja na malkia wake. Basi. Hapo walichagua nafasi inayoonekana vizuri na pia ambako mto (njia ya maji) si mbali.
Kama kweli kaburi lingepatikana chini ya piamidi basi sababu yake wakati wa kujenga kaburi ilikuwepo tayari kwa bahati so kwa kusudi.

Kitu kingine ni makaburi ya kifalme chini ya ardhi au katika mapango ya mtelemko wa mlima jinsi ilivyo huko Luxor katika Bonde la Wafalme (Misri Kusini) lakini hizi si piramidi.
 
Hakuna makaburi chini ya piramidi. Piramidi zilijengwa kama kaburi la mfalme mmoja, labda pamoja na malkia wake. Basi. Hapo walichagua nafasi inayoonekana vizuri na pia ambako mto (njia ya maji) si mbali.
Kama kweli kaburi lingepatikana chini ya piamidi basi sababu yake wakati wa kujenga kaburi ilikuwepo tayari kwa bahati so kwa kusudi.

Kitu kingine ni makaburi ya kifalme chini ya ardhi au katika mapango ya mtelemko wa mlima jinsi ilivyo huko Luxor katika Bonde la Wafalme (Misri Kusini) lakini hizi si piramidi.
Hii ni Great Pyramid, Unaona nini Chini ya Pyramid?
images-1.jpg
 
na ni kwann ni pyramid na cyo shape nyingine yyte. historia inasemaje hapo!
 
Hii historia ya ujenzi wa piramid za misri ni moja ya mambo yanayo nipa ukakasi,na hii inatokana na elimu iliyotumika,nguvu zilizotumika,teknolojia n.k hebu fikiria tofali la tone saba kwa binadamu ambaye hata baiskeli alikuwa haja vumbua aliwezaje beaba tofali hilo kuna mambo mengi ya kujifunza kama teknolojia yetu ya sasa inasonga mbele au inarudinyuma miaka mingi kabla hata ya mapiramida ya misri.
unashangaa kubeba tu, mi nashangaa hata kufyatua walifyatuaje[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Kwa aliyewahi kuona au kufyatua tofali tushirikiane kufyatua..
 
Back
Top Bottom