Unawajua Wanyama wasiolea watoto wao

Unawajua Wanyama wasiolea watoto wao

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Kuna nyoka, mjusi, kinyonga hawa wakishazaa au kutaga mayai hao wanaondoka hawana Tena time na watoto wao. Sungura na panda wao watakaa kidogo na watoto labda week then wanawaacha wajitegemee. Nyani ye akiona mtoto mlegevu mlegevu anamwachia toka juu ya mti. Buibui yeye sometimes sio tu ana mu abandon mtoto ila anaweza akamla kabisa.


Wanaoongoza Kwa ku care ni simba na tembo hawa wanalinda sana watoto zao.
 
Kuna nyoka,mjusi, kinyonga hawa wakishazaa au kutaga mayai hao wanaondoka hawana Tena time na watoto wao.. Sungura na panda wao watakaa kidogo na watoto labda week then wanawaacha wajitegemee.. Nyani ye akiona mtoto mlegevu mlegevu anamwachia toka juu ya mti... Buibui yeye sometimes sio tu ana mu abandon mtoto ila anaweza akamla kabisa..


Wanaoongoza Kwa ku care ni simba na tembo hawa wanalinda sana watoto zao.

Tembo
 
Kuna nyoka, mjusi, kinyonga hawa wakishazaa au kutaga mayai hao wanaondoka hawana Tena time na watoto wao. Sungura na panda wao watakaa kidogo na watoto labda week then wanawaacha wajitegemee. Nyani ye akiona mtoto mlegevu mlegevu anamwachia toka juu ya mti. Buibui yeye sometimes sio tu ana mu abandon mtoto ila anaweza akamla kabisa.


Wanaoongoza Kwa ku care ni simba na tembo hawa wanalinda sana watoto zao.
Kwenye Punda ni uongo.

Jaribu kumtenganisha na mwanaye uone mtiti wake
 
Kuna nyoka, mjusi, kinyonga hawa wakishazaa au kutaga mayai hao wanaondoka hawana Tena time na watoto wao. Sungura na panda wao watakaa kidogo na watoto labda week then wanawaacha wajitegemee. Nyani ye akiona mtoto mlegevu mlegevu anamwachia toka juu ya mti. Buibui yeye sometimes sio tu ana mu abandon mtoto ila anaweza akamla kabisa.


Wanaoongoza Kwa ku care ni simba na tembo hawa wanalinda sana watoto zao.
Nyani na buibui hawapendi ujinga kabisa
 
Back
Top Bottom