Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 11,097
- 17,929
Hii chai tulipigwa sana enzi hizo, ila Tanganyika kuna vi stori uchwara sana.
HIvi unajua kwanza staili ya kinyonga kuzaa ?
Kinyonga ili azae inabidi yeye kama mama afe/apoteze maisha, na ni lazima siyo hiari.
Kinyonga akiona siku za kuzaa zimefika, anapanda juu ya mti mrefu, anajirusha chini kwa nguvu anapasuka alafu ndiyo watoto wanatoka.
Hivyo ili kinyonga azae inabidi afe mama ndo watoto watoke