Unawajua Wanyama wasiolea watoto wao

Unawajua Wanyama wasiolea watoto wao

HIvi unajua kwanza staili ya kinyonga kuzaa ?

Kinyonga ili azae inabidi yeye kama mama afe/apoteze maisha, na ni lazima siyo hiari.

Kinyonga akiona siku za kuzaa zimefika, anapanda juu ya mti mrefu, anajirusha chini kwa nguvu anapasuka alafu ndiyo watoto wanatoka.

Hivyo ili kinyonga azae inabidi afe mama ndo watoto watoke
Acha ngonjera umesoma biology kweli au story za vilinge?
Kinyonga ni jamii ya reptilia kundi lao kubwa hutaga mayai
Wachache ndio huzaa na hio kupasuka haina ushahidi wowote
 
Acha ngonjera umesoma biology kweli au story za vilinge?
Kinyonga ni jamii ya reptilia kundi lao kubwa hutaga mayai
Wachache ndio huzaa na hio kupasuka haina ushahidi wowote
Huwa hawapasuki hizo ni story za vijiweni, huwa wanaanguka bahati mbaya kutokana na kuzidiwa uzito wakati wa ujauzito, maana hupenda kukaa mwisho wa matawi ambayo kwa kawaida ni mepesi
 
HIvi unajua kwanza staili ya kinyonga kuzaa ?

Kinyonga ili azae inabidi yeye kama mama afe/apoteze maisha, na ni lazima siyo hiari.

Kinyonga akiona siku za kuzaa zimefika, anapanda juu ya mti mrefu, anajirusha chini kwa nguvu anapasuka alafu ndiyo watoto wanatoka.

Hivyo ili kinyonga azae inabidi afe mama ndo watoto watoke
Sio kweli hili tumedanganywa toka zamani ukweli ni kwamba hafi
 
Acha ngonjera umesoma biology kweli au story za vilinge?
Kinyonga ni jamii ya reptilia kundi lao kubwa hutaga mayai
Wachache ndio huzaa na hio kupasuka haina ushahidi wowote
Akaangalie hata video YouTube aone kinyonga anazaa na mtoto anaangukia kwenye majani yeye mzima kabisa anaondoka zake
 
Huwa hawapasuki hizo ni story za vijiweni, huwa wanaanguka bahati mbaya kutokana na kuzidiwa uzito wakati wa ujauzito, maana hupenda kukaa mwisho wa matawi ambayo kwa kawaida ni mepesi
Kweli kabisa tanzania kuna vistory uchwala vipo kitaa watu wanaeneza bila utafiti
Mara sijui ukivaa nguo nyekundu radi linakupiga kwa staili hio timu km livapool,simba wasingekuwa wanacheza kipindi cha mvuq
 
HIvi unajua kwanza staili ya kinyonga kuzaa ?

Kinyonga ili azae inabidi yeye kama mama afe/apoteze maisha, na ni lazima siyo hiari.

Kinyonga akiona siku za kuzaa zimefika, anapanda juu ya mti mrefu, anajirusha chini kwa nguvu anapasuka alafu ndiyo watoto wanatoka.

Hivyo ili kinyonga azae inabidi afe mama ndo watoto watoke
Ingekuwa inawezekana kinyonga kukata rufaa angekata kwa Muumba awe tasa asizae mazima

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Nyani na buibui hawapendi ujinga kabisa
Sijui ni nyani gani ambao amewazungumzia hapa. Nyani ninaowafahamu huwa hakai sentimita 10 mbali na mtoto wake.

Wapo very protective na watoto wao na huwa muda wote akiwa anakula, amelala, amepumzika huwa anashikana na mtoto wake.
 
HIvi unajua kwanza staili ya kinyonga kuzaa ?

Kinyonga ili azae inabidi yeye kama mama afe/apoteze maisha, na ni lazima siyo hiari.

Kinyonga akiona siku za kuzaa zimefika, anapanda juu ya mti mrefu, anajirusha chini kwa nguvu anapasuka alafu ndiyo watoto wanatoka.

Hivyo ili kinyonga azae inabidi afe mama ndo watoto watoke
Story tu hizo, anazaa vizuri tu na mtoto anatoka kama wanyama wengine wanaozaa. Nionyeshe video za kinyonga anayezaa na kufa nikuonyeshe video za kinyonga anazaa fresh tu na kusepa.
 
Punda ukimtenganisha na mtoto wake anasusa hafanyi kazi.

Na ukitaka uone balaa lake mkamate mtoto wake mbele yake, akikufikia anakuuma vizuri tu na yale meno yake ya kukatia nyasi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
pamoja na mateke anakutwanga
 
Kweli kabisa tanzania kuna vistory uchwala vipo kitaa watu wanaeneza bila utafiti
Mara sijui ukivaa nguo nyekundu radi linakupiga kwa staili hio timu km livapool,simba wasingekuwa wanacheza kipindi cha mvuq
Kuna mzee alikuwa analeta story kuhusu nyoka wa kijani. Madogo wakampeleka YouTube kumuonyesha kile anachosema kuwa kinatokea na kuona kwa ushahidi wa video. Mzee aliona aibu. Vizee vya zamani kwa fix. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna nyoka, mjusi, kinyonga hawa wakishazaa au kutaga mayai hao wanaondoka hawana Tena time na watoto wao. Sungura na panda wao watakaa kidogo na watoto labda week then wanawaacha wajitegemee. Nyani ye akiona mtoto mlegevu mlegevu anamwachia toka juu ya mti. Buibui yeye sometimes sio tu ana mu abandon mtoto ila anaweza akamla kabisa.


Wanaoongoza Kwa ku care ni simba na tembo hawa wanalinda sana watoto zao.
Kwenye list yako weka Kenge, Mamba, Kasa, samaki asimilia kubwa hawakai na vichanga vyao, chura, na Wanaume wenye ndoa zao wanaozaa na wanawake ambao hawataishi nao.
 
Back
Top Bottom