Acha ngonjera umesoma biology kweli au story za vilinge?HIvi unajua kwanza staili ya kinyonga kuzaa ?
Kinyonga ili azae inabidi yeye kama mama afe/apoteze maisha, na ni lazima siyo hiari.
Kinyonga akiona siku za kuzaa zimefika, anapanda juu ya mti mrefu, anajirusha chini kwa nguvu anapasuka alafu ndiyo watoto wanatoka.
Hivyo ili kinyonga azae inabidi afe mama ndo watoto watoke
Huwa hawapasuki hizo ni story za vijiweni, huwa wanaanguka bahati mbaya kutokana na kuzidiwa uzito wakati wa ujauzito, maana hupenda kukaa mwisho wa matawi ambayo kwa kawaida ni mepesiAcha ngonjera umesoma biology kweli au story za vilinge?
Kinyonga ni jamii ya reptilia kundi lao kubwa hutaga mayai
Wachache ndio huzaa na hio kupasuka haina ushahidi wowote
Sio kweli hili tumedanganywa toka zamani ukweli ni kwamba hafiHIvi unajua kwanza staili ya kinyonga kuzaa ?
Kinyonga ili azae inabidi yeye kama mama afe/apoteze maisha, na ni lazima siyo hiari.
Kinyonga akiona siku za kuzaa zimefika, anapanda juu ya mti mrefu, anajirusha chini kwa nguvu anapasuka alafu ndiyo watoto wanatoka.
Hivyo ili kinyonga azae inabidi afe mama ndo watoto watoke
Akaangalie hata video YouTube aone kinyonga anazaa na mtoto anaangukia kwenye majani yeye mzima kabisa anaondoka zakeAcha ngonjera umesoma biology kweli au story za vilinge?
Kinyonga ni jamii ya reptilia kundi lao kubwa hutaga mayai
Wachache ndio huzaa na hio kupasuka haina ushahidi wowote
😂Wadada wengi pia wa mjini hawalei watoto wao, utasikia "nimempeleka kwa bibi yake anapapenda sana"
Kweli kabisa tanzania kuna vistory uchwala vipo kitaa watu wanaeneza bila utafitiHuwa hawapasuki hizo ni story za vijiweni, huwa wanaanguka bahati mbaya kutokana na kuzidiwa uzito wakati wa ujauzito, maana hupenda kukaa mwisho wa matawi ambayo kwa kawaida ni mepesi
Tulia weweeeKuna species za Nguruwe zime originate Israel, nao ni shida. Zinafugwa na mayahudi.
Ingekuwa inawezekana kinyonga kukata rufaa angekata kwa Muumba awe tasa asizae mazimaHIvi unajua kwanza staili ya kinyonga kuzaa ?
Kinyonga ili azae inabidi yeye kama mama afe/apoteze maisha, na ni lazima siyo hiari.
Kinyonga akiona siku za kuzaa zimefika, anapanda juu ya mti mrefu, anajirusha chini kwa nguvu anapasuka alafu ndiyo watoto wanatoka.
Hivyo ili kinyonga azae inabidi afe mama ndo watoto watoke
Ah ah Punda ukimbebesha mtoto wake mzigo anagoma kutembea ujue jinsi gani anauchungu na mtoto wakeKwenye Punda ni uongo.
Jaribu kumtenganisha na mwanaye uone mtiti wake
Punda ukimtenganisha na mtoto wake anasusa hafanyi kazi.Kwenye Punda ni uongo.
Jaribu kumtenganisha na mwanaye uone mtiti wake
Kwani hajawataja hapo, si amesema Nyoka, mijusi na kinyonga, we ulidhania amemaanisha nyoka chatu, amemaanisha nyoka wanawake wa kisasa hawa wadangaji.Wadada wengi pia wa mjini hawalei watoto wao, utasikia "nimempeleka kwa bibi yake anapapenda sana"
Sasa si ufanye edit kule juu.I said panda [emoji209]
Sijui ni nyani gani ambao amewazungumzia hapa. Nyani ninaowafahamu huwa hakai sentimita 10 mbali na mtoto wake.Nyani na buibui hawapendi ujinga kabisa
Story tu hizo, anazaa vizuri tu na mtoto anatoka kama wanyama wengine wanaozaa. Nionyeshe video za kinyonga anayezaa na kufa nikuonyeshe video za kinyonga anazaa fresh tu na kusepa.HIvi unajua kwanza staili ya kinyonga kuzaa ?
Kinyonga ili azae inabidi yeye kama mama afe/apoteze maisha, na ni lazima siyo hiari.
Kinyonga akiona siku za kuzaa zimefika, anapanda juu ya mti mrefu, anajirusha chini kwa nguvu anapasuka alafu ndiyo watoto wanatoka.
Hivyo ili kinyonga azae inabidi afe mama ndo watoto watoke
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Punda ukimtenganisha na mtoto wake anasusa hafanyi kazi.
Na ukitaka uone balaa lake mkamate mtoto wake mbele yake, akikufikia anakuuma vizuri tu na yale meno yake ya kukatia nyasi.
Kuna mzee alikuwa analeta story kuhusu nyoka wa kijani. Madogo wakampeleka YouTube kumuonyesha kile anachosema kuwa kinatokea na kuona kwa ushahidi wa video. Mzee aliona aibu. Vizee vya zamani kwa fix. [emoji23][emoji23][emoji23]Kweli kabisa tanzania kuna vistory uchwala vipo kitaa watu wanaeneza bila utafiti
Mara sijui ukivaa nguo nyekundu radi linakupiga kwa staili hio timu km livapool,simba wasingekuwa wanacheza kipindi cha mvuq
Kwenye list yako weka Kenge, Mamba, Kasa, samaki asimilia kubwa hawakai na vichanga vyao, chura, na Wanaume wenye ndoa zao wanaozaa na wanawake ambao hawataishi nao.Kuna nyoka, mjusi, kinyonga hawa wakishazaa au kutaga mayai hao wanaondoka hawana Tena time na watoto wao. Sungura na panda wao watakaa kidogo na watoto labda week then wanawaacha wajitegemee. Nyani ye akiona mtoto mlegevu mlegevu anamwachia toka juu ya mti. Buibui yeye sometimes sio tu ana mu abandon mtoto ila anaweza akamla kabisa.
Wanaoongoza Kwa ku care ni simba na tembo hawa wanalinda sana watoto zao.
Asee,, hahaha.Hata ukimtwisha mtoto wake mzigo, punda hakuachi, lazima akushughurikie.