Unawakumbuka wale vipanga?

Unawakumbuka wale vipanga?

Aise leo nimekumbuka mbali kidogo miaka ya 2003 enzi hizo naanza form one shule fulani. Enzi hizo ilikuwa shule ya serikali lakini ya vipaji; aisee hapa nilikutana na vipanga humo darasani mpaka naona kero, maana ilikuwa too much

Lakini nilijivunia sana kuwa pale maana nilijifunza mengi ikiwamo kujibidisha katika kusoma kwa vile wote walikuwa vipanga hatari, achana na hawa viazi wa Siku hizi .[emoji120][emoji120][emoji120][emoji119][emoji119][emoji119]
Aise ilikua tarehe 09.01.2003 Mama ndio alinipeleka shule kuanza darasa la kwanza.
Heshima yako mkuu.
 
Afu wale vipanga mbona hatuwaoni huku kitaa wakiwa ktk nyadhfa flan hv au matajiri flan hv...mbona hatuwaoni tena huku?
 
Nilipita pale mkuu,sio siri kwamba pale pia kulikuwa na vipanga sana na nadhani mpaka leo hii hali ni hiyo ukizingatia matokeo ya form six yaliyopita..
Hongera sanaa mzee!
Hongeraaa baba....
[emoji1478][emoji1478][emoji1478][emoji1478][emoji1478]
 
Yani nyuzi kama hizi lazima atokee “Kalumekenge” mmoja wa kuwa Hater

Kama hukujaaliwa za darasani nyuzi kama hizi pita pembeni...
Sasa mbona unanitukana mkuu unaujua uwezo wangu wa kiakili kwani?
 
Vipanga orijinale walikuaga Mzumbe secondary jamani!na Mafinga seminary!umpe hesabu gan dent wa mafinga seminary ashindwe[emoji28]!dah
Mzumbe secondary, Nilikua Bweni na Mkwawa 01. A.K.A Federal ( Fede).

Bweni la viongozi.

Nimemiss kweli yale maisha mtu anapiga msuli mpaka kunakucha na kareport shule jana as a newcomer.

Kwanini usipaniki?

Ile shule mbali na kuwa ya vipaji maalumu, kuna skills nimezipata zinanisaidia sana in real life.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Darasani kwetu kulikuwa na vipanga sana, lakini vipanga hatari zaidi, walikuwa kama sita hivi. Kuna hilo lihaya mmoja hivi na lenzake limasai yalikuwa ni moto wa kuotea mbali.

Unaweza ukapata mtihani 90 ya hesabu ukajua leo nimewaweza kesho mnakuja kutangaziwa kwamba lile lihaya limepata 98, unatamani hata kulia unashindwa.

Kuna lijamaa jingine lilikuwa linyarwanda lilikuwa lina hatari sana, lilikuwa linafahamu vitu hadi walimu wakaanza kuliita Encyclopedia. Wewe sema kitu, jamaa linajua. Sema lilikiwa na accent mbaya kweli kwenye English tulikuwa tunalicheka kichizi linachukia kinoma.
Kagera salute,nmesoma level zote za Elimu watu wa kanda hiyo(kagera) uwa ni moto wa kuotea mbali(vipanga) mimi nikiwa mmoja wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji16][emoji3][emoji3]
Darasani kwetu kulikuwa na vipanga sana, lakini vipanga hatari zaidi, walikuwa kama sita hivi. Kuna hilo lihaya mmoja hivi na lenzake limasai yalikuwa ni moto wa kuotea mbali.

Unaweza ukapata mtihani 90 ya hesabu ukajua leo nimewaweza kesho mnakuja kutangaziwa kwamba lile lihaya limepata 98, unatamani hata kulia unashindwa.

Kuna lijamaa jingine lilikuwa linyarwanda lilikuwa lina hatari sana, lilikuwa linafahamu vitu hadi walimu wakaanza kuliita Encyclopedia. Wewe sema kitu, jamaa linajua. Sema lilikiwa na accent mbaya kweli kwenye English tulikuwa tunalicheka kichizi linachukia kinoma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama afrika kungekuwa na watu wenye akili basi tusingekuwa masikini.
Hao walikuwa wana uwezo wa kukariri tu kisha wajibu mitihani wafaulu wapate kazi au angalia maisha yao sasa hivi.
Ndo maana hukesha wanasoma wakati hakuna kigumu kwenye hii elimu ya Africa zaidi ya kukariri visivyo na impact kwenye ubongo na maisha yako ya kila siku zaidi ya kupata ajira.
 
Back
Top Bottom