Pre GE2025 Unawaongezea wananchi gharama za maisha halafu useme wakuchague ukaumize tena, CCM mmekuwaje?

Pre GE2025 Unawaongezea wananchi gharama za maisha halafu useme wakuchague ukaumize tena, CCM mmekuwaje?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Unamwambia mtu akatafute Hela, wewe huu muda wa kumjibu Kwa nini usikomae kutafuta Hela!? Hiyo ni kuleta kujuana.
Ninazo hela na ninaajiri watu kama wewe 7 ambao wanakula na kunya kwa uwekezaji wangu. Njoo na wewe Ubungo Kibo kama huna kazi
 
Ni lini hali hizi hazikuwepo na bado CCM imekuwa inachaguliwa!, what is the difference this time?

Lets suppose its true CCM imepoteza mvuto na imepoteza mwelekeo, hivyo CCM inapaswa ipumzishwe, aje nani?.
P
Unauliza maswali kama mtoto wa Chekechea. Eti CCM ikipumzishwa aje nani.
 
Nilijua tu wewe ni mmoja wapo wa wale waliobananishwa na Magufuli. Ona eti sahivi umehamia CCM!
Kwa hiyo wamuabudu Magufuli siyo? Yuko wapi sasa ? Siye tupo tunadunda, yeye amekuwa chakula cha minyoo Chato
 
Ninazo hela na ninaajiri watu kama wewe 7 ambao wanakula na kunya kwa uwekezaji wangu. Njoo na wewe Ubungo Kibo kama huna kazi
Wewe ni mpumbavu Mmoja kuleta kujuana humu ndani. Unamwambia mtu akatafute Hela, wewe umejuaje yeye Hana Hela!? Wewe unajua na yeye kaajiri watu wangapi!? Eti unazo Hela, so, nani ambaye Hana!? Ficha upumbavu wako.
 
Wewe ni mpumbavu Mmoja kuleta kujuana humu ndani. Unamwambia mtu akatafute Hela, wewe umejuaje yeye Hana Hela!? Wewe unajua na yeye kaajiri watu wangapi!? Eti unazo Hela, so, nani ambaye Hana!? Ficha upumbavu wako.
Wewe huna hela, mwandiko wako na povu unalotoa ni la kinyonge na hasira ya kukosa.
 
Kukatika katika hovyo kwa umeme

fukuza fukuza ya machinga

kuongeza nauli hovyo hovyo

ubovu wa miundombinu ya barabara

kukwama kwa miradi mbalimbali

mfumko wa kutisha wa bei

Rushwa iliyokithiri

mnataka mchaguliwe kwenda kuongeza tena gharama za maisha? yaani CCM mmepoteza mvuto na mmepoteza mwelekeo
Kuna mtu ame-hack hii ID.
 
Wewe ni mpumbavu Mmoja kuleta kujuana humu ndani. Unamwambia mtu akatafute Hela, wewe umejuaje yeye Hana Hela!? Wewe unajua na yeye kaajiri watu wangapi!? Eti unazo Hela, so, nani ambaye Hana!? Ficha upumbavu wako.
Huyu jamaa akili yake haipo sawa. Anahitaji kabisa uangalizi. Hamna logic kabisa kwenye post zake.
 
Back
Top Bottom