Unaweza kuamini kuwa huyu ni Mwanaume?

Unaweza kuamini kuwa huyu ni Mwanaume?

Mkuu nanii ipo? Au ndio ukijichanganya unakutana na mzigo, nduki zake watanikamatia Arusha jiji la Makonda.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] cocastic tuishie hapa kwa kweli [emoji119][emoji119]
Na maumivu yote yale ya kutahiri.wa unakuta mtu anakuwa ..... [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]...

Vidampaa una vipa promo sana wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] .
Takata mdomo wako huo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] em huko, tena wengine jando la porini, na bado anakua kidampa, ana ukalia na kuulilia ukuni km kauwaaa.

Mie kungwiii huwa nawafunda wasiachike, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nyie jamani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu mmevurugwa mwaka huuu
BICHWA KOMWE - njooo huku..
Kumbe ndo mana ana ku tag anajua akili moja [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] em muachee wizooo akee, ana ndoa changa huyoo, anapeti peti.

Mie ishapita anniversary 1, tunaikimbilia ya 2.
Ndoa ninayoo na haijarogwaa, weraaaaaaaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] em huko, tena wengine jando la porini, na bado anakua kidampa, ana ukalia na kuulilia ukuni km kauwaaa.

Mie kungwiii huwa nawafunda wasiachike, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂😂😂😂 Umenishinda tabia 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] em muachee wizooo akee, ana ndoa changa huyoo, anapeti peti.

Mie ishapita anniversary 1, tunaikimbilia ya 2.
Ndoa ninayoo na haijarogwaa, weraaaaaaaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂🙌🙌 Ngoja tuone..
 
Wananikeraga hawaongezagi na miguu..kama kasimamia fimbo khaa
 
Mngeanza kuwashangaa wanaompanda mana kwa akili za kawaida ndio wa kwanza anapaswa tumshangae!! Wanaume muache kuwatumia tuone km watakuwepo
Shangaa nawee hapo uduguu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
... mwanaume, mwenye pesa mpaka aweze kuyafanya hayo, anapoamua kutuachia Watoto wa kike ni sherehe kwetu tunaowamaindi madem halisi!
 
Sasa mzee mwenzangu....utamwonaje mtu kama uja mfollow...ahahahaa
Haha na una mfollow vipi mtu ambae huna interest nae??I'm so particular,nimefollow wacheza mpira,teams,Rappers,wapiga picha,Na page za movies,watu ninao wajua tu,Kama 130 tu akaunti nimefollow
 
Huyu ni Mwanaume kutoka Nigeria ambae amejibadilisha na kuwa na muonekano wa kike.

Jina lake ni Daniel Anthony Nskan.

View attachment 2947534View attachment 2947535View attachment 2947536
Sasa hivi wanaume tuwe makini sana! Juzi kati nimepita mitaa fulani hivi Tandika! Mpaka roho ikaniuma aisee! Natoka zangu mishe mishe nikapishana na pisi kali mbili safi kabsa! Zimeuramba hatari! Moja ikanisalimia nikaitikia. Nikapita kwenye chipsi ninunue msosi nikamuuliza mwamba anayehudumia kuwa zile pisi zinakaa wapi, maana nimezielewa! Jamaa alicheka sana kiasi kwamba alikaa chini kabsa! Akaniambia kuwa wale wameshakata kamba kitambo, ni washkaji ila wanachotwa nyuma fresh tu! Mwili ulisisimka wote!
Kuna wanaume wanapendeza kuliko hata wanawake! Dunia hii aisee Daniel Anthony Nskan kwa sasa anatambulika kama She ila moyoni mwake bado atabakia kuwa He
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wizooo nammudu, afu hasumbuii kwangu.

Wee kijana mie nimeshavuka hizo level, au habari zangu huna? Uliza kwa shangazi ako wa maporini akuambie vizuri kuhusu mie.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Habari zako ninazo..
Ila hata hivyo Kwa sasa naona umepoa sio kama kipindi kile..

Ambacho ulikua nusu kukiwasha nusu kukichafua 😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom