Unaweza kuamini kuwa huyu ni Mwanaume?

Unaweza kuamini kuwa huyu ni Mwanaume?

Sasa hivi wanaume tuwe makini sana! Juzi kati nimepita mitaa fulani hivi Tandika! Mpaka roho ikaniuma aisee! Natoka zangu mishe mishe nikapishana na pisi kali mbili safi kabsa! Zimeuramba hatari! Moja ikanisalimia nikaitikia. Nikapita kwenye chipsi ninunue msosi nikamuuliza mwamba anayehudumia kuwa zile pisi zinakaa wapi, maana nimezielewa! Jamaa alicheka sana kiasi kwamba alikaa chini kabsa! Akaniambia kuwa wale wameshakata kamba kitambo, ni washkaji ila wanachotwa nyuma fresh tu! Mwili ulisisimka wote!
Kuna wanaume wanapendeza kuliko hata wanawake! Dunia hii aisee Daniel Anthony Nskan kwa sasa anatambulika kama She ila moyoni mwake bado atabakia kuwa He
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
""Mwili ulisisimka wote!""
Baada ya kusikia ni wakiume ukasisimka 😂😂🙌🙌🙌🙌
Wee jamaa jau sana
 
Kiukweli baada ya kusikia kuwa ni wale jamaa ni wanaume Nilijiona bonge ya fala na Nilifadhaika sana Mkuu
😂😂😂😂😂😂😂
Nilikua nakunukuu vibaya kumbe...🙏🙏🙏🙏🙏🙏

Daaah pole sana mkuu ndo tupo ulimwengu wa hivi tena....
 
bobrisky anaenda kunyea debe miezi 6, afu alivyokichaa anaulizwa mahakamani wewe ni me au ke akasema mimi ni me kabisa, wakamtia gereza la ma me akatoe vzr kiboga
 
bobrisky anaenda kunyea debe miezi 6, afu alivyokichaa anaulizwa mahakamani wewe ni me au ke akasema mimi ni me kabisa, wakamtia gereza la ma me akatoe vzr kiboga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani wamemuonea shoga angu, maana nlikua napenda heka heka zake, ila yule bwana ake mpopo kashindwa kulipa faini?

Shost nae si ana hela? Kashindwa vipi kulipa faini? Bas hapo Somizi anachekea chooni, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jaman Bob asikae jelaa, aaah ananiangushaa, cna raha kabisaa leo.
 
Ikiwa atakufa katika hali hiyo ( yaani akafa hajatubia) atadumu motoni na hakika hayo ni mafikio mabaya kabisa.
Tusighuriwe na anasa na udanganyifu wa dunia

Moto upo na hakika Jahannam inangojea
 
Back
Top Bottom