Unaweza kudhani labda huyu mtoto wa mmoja wa waanzilishi wa Hamas kanunuliwa na Israel, hapana, ni basi tu amekataa kuwa mhanga wa itikadi za kitapeli

Unaweza kudhani labda huyu mtoto wa mmoja wa waanzilishi wa Hamas kanunuliwa na Israel, hapana, ni basi tu amekataa kuwa mhanga wa itikadi za kitapeli

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
VITA YENU SIO YA UKOMBOZI WALA HAKI, ILA NI YA ITIKADI, ITIKADI YA KITAPELI.

Mwamba anaitwa Mosab Hassan Yousef.
20241101_095010.jpg



View: https://youtube.com/shorts/06CNNyOmG0o?si=qaIhsskImYcfSPkj


View: https://youtube.com/shorts/JLR7e6Gl1Rc?si=WqrAKJeMu6w3dabd


View: https://youtube.com/shorts/4wwi8jW72cQ?si=TiduWhz6rCXcLUQN
 
Tatizo wagalatia wengi hamna uwezo wa ku reason linapokuja suala la Bwana wenu Israhell,

Ukimsikiliza jamaa, kama yeye anasema alizaliwa eneo linaloitwa Judea( ambayo ni West Bank). Kwanini Wazayuni wanawafukuza hao waliozaliwa hapo?

Mkiacha ushabiki wa kuabudu wazayuni mkaweka ubinadamu mtakua na akili
 


Propaganda uchwara hizo zimeanza leo?

Aibu: Israel na ushahidi wa mchongo Gaza

Hizo si tulishakubaliana wenye kuziamini ni wale wasayuni wa chole, chole huko!
 
Tatizo wagalatia wengi hamna uwezo wa ku reason linapokuja suala la Bwana wenu Israhell,

Ukimsikiliza jamaa, kama yeye anasema alizaliwa eneo linaloitwa Judea( ambayo ni West Bank). Kwanini Wazayuni wanawafukuza hao waliozaliwa hapo?

Mkiacha ushabiki wa kuabudu wazayuni mkaweka ubinadamu mtakua na akili
Kureason nini

Kwamba mabikra 72 wapo wanatusubiria hahah
1000068374.jpg
 
Tatizo wagalatia wengi hamna uwezo wa ku reason linapokuja suala la Bwana wenu Israhell,

Ukimsikiliza jamaa, kama yeye anasema alizaliwa eneo linaloitwa Judea( ambayo ni West Bank). Kwanini Wazayuni wanawafukuza hao waliozaliwa hapo?

Mkiacha ushabiki wa kuabudu wazayuni mkaweka ubinadamu mtakua na akili
Naona umefika
Umemsikiliza vizuri huyo mwarabu asilia wa Middle east ????
 
Back
Top Bottom