Ngoja kwanza waje waarabu wa mchambawima
HahahahHhNgoja waje wanywa alkasusu wa kichangani, idrisa, mtoro, mwinyimkuu, mtogole na kijiwe samli View attachment 3140332
Wazee wa gahawaNgoja waje wanywa alkasusu wa kichangani, idrisa, mtoro, mwinyimkuu, mtogole na kijiwe samli View attachment 3140332
VITA YENU SIO YA UKOMBOZI WALA HAKI, ILA NI YA ITIKADI, ITIKADI YA KITAPELI.
Mwamba anaitwa Mosab Hassan Yousef.
View attachment 3140302
View: https://youtube.com/shorts/06CNNyOmG0o?si=qaIhsskImYcfSPkj
View: https://youtube.com/shorts/JLR7e6Gl1Rc?si=WqrAKJeMu6w3dabd
View: https://youtube.com/shorts/4wwi8jW72cQ?si=TiduWhz6rCXcLUQN
Kureason niniTatizo wagalatia wengi hamna uwezo wa ku reason linapokuja suala la Bwana wenu Israhell,
Ukimsikiliza jamaa, kama yeye anasema alizaliwa eneo linaloitwa Judea( ambayo ni West Bank). Kwanini Wazayuni wanawafukuza hao waliozaliwa hapo?
Mkiacha ushabiki wa kuabudu wazayuni mkaweka ubinadamu mtakua na akili
Naona umefikaTatizo wagalatia wengi hamna uwezo wa ku reason linapokuja suala la Bwana wenu Israhell,
Ukimsikiliza jamaa, kama yeye anasema alizaliwa eneo linaloitwa Judea( ambayo ni West Bank). Kwanini Wazayuni wanawafukuza hao waliozaliwa hapo?
Mkiacha ushabiki wa kuabudu wazayuni mkaweka ubinadamu mtakua na akili
Jibu hoja za muislamu mwenzako Mosab Hassan Yousef anadai ideology ya Palestine imeanzishwa juzi tu hapa na akina Arafat ila Israel kama taifa la kale lipo miaka na miaka.Naam, umeniita?
Tatizo nini?