Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,713
- 6,121
Mkuu,
Kuna watu/mtu ambaye wanaohitaji kufanya uwekezaji serious?
Je unaweza kufanya nini ukiwa na access ya Kiasi cha Milioni 50-500?Uwekezaji uwe endelevu,uzalishe ajira,uhifadhi mazingira uzalishe kwa soko la nje na la ndani.
Kama una wazo zuri hapa ndo pahala pake
Kuna watu/mtu ambaye wanaohitaji kufanya uwekezaji serious?
Je unaweza kufanya nini ukiwa na access ya Kiasi cha Milioni 50-500?Uwekezaji uwe endelevu,uzalishe ajira,uhifadhi mazingira uzalishe kwa soko la nje na la ndani.
Kama una wazo zuri hapa ndo pahala pake