Black Thought
Senior Member
- Feb 25, 2015
- 161
- 408
Habari wakuu.
Hapa nimeleta mchanganuo wa KuJenga Apartment yenye nyumba Tano (mbili za vyumba viwili, sebule, jiko na Choo na Tatu za chumba kimoja, sebule, jiko na choo)
Tofali za msingi = 2856 (kwa kozi sita)
Tofali za Boma = 5015
Bati (za 0.9m X 3m) = 175 pc
Nime’attach picha yenye sehemu ya mchanganuo huo
Tukichora ramani 𝙏𝙪𝙣𝙖𝙠𝙪𝙥𝙖𝙩𝙞𝙖 𝘽𝙐𝙍𝙀 𝙝𝙚𝙨𝙖𝙗𝙪/idadi 𝙮𝙖 ‘𝙢𝙖𝙩𝙚𝙧𝙞𝙖𝙡’ 𝙮𝙖𝙣𝙖𝙮𝙤𝙝𝙞𝙩𝙖𝙟𝙞𝙠𝙖 𝙠𝙪𝙟𝙚𝙣𝙜𝙖 𝙢𝙥𝙖𝙠𝙖 𝙠𝙪𝙥𝙖𝙪𝙖 itakayokusaidia kujipanga na kwenda sawa na mafundi wakati wa Ujenzi kwenye hatua za awali
View attachment 2233313
View attachment 2233315
View attachment 2233316
View attachment 2233317
View attachment 2233318
KudosHabari wakuu.
Hapa nimeleta mchanganuo wa KuJenga Apartment yenye nyumba Tano (mbili za vyumba viwili, sebule, jiko na Choo na Tatu za chumba kimoja, sebule, jiko na choo)
Tofali za msingi = 2856 (kwa kozi sita)
Tofali za Boma = 5015
Bati (za 0.9m X 3m) = 175 pc
Nime’attach picha yenye sehemu ya mchanganuo huo
Tukichora ramani 𝙏𝙪𝙣𝙖𝙠𝙪𝙥𝙖𝙩𝙞𝙖 𝘽𝙐𝙍𝙀 𝙝𝙚𝙨𝙖𝙗𝙪/idadi 𝙮𝙖 ‘𝙢𝙖𝙩𝙚𝙧𝙞𝙖𝙡’ 𝙮𝙖𝙣𝙖𝙮𝙤𝙝𝙞𝙩𝙖𝙟𝙞𝙠𝙖 𝙠𝙪𝙟𝙚𝙣𝙜𝙖 𝙢𝙥𝙖𝙠𝙖 𝙠𝙪𝙥𝙖𝙪𝙖 itakayokusaidia kujipanga na kwenda sawa na mafundi wakati wa Ujenzi kwenye hatua za awali
View attachment 2233313
View attachment 2233315
View attachment 2233316
View attachment 2233317
View attachment 2233318
Aisee!Habari wakuu.
Hapa nimeleta mchanganuo wa KuJenga Apartment yenye nyumba Tano (mbili za vyumba viwili, sebule, jiko na Choo na Tatu za chumba kimoja, sebule, jiko na choo)
Tofali za msingi = 2856 (kwa kozi sita)
Tofali za Boma = 5015
Bati (za 0.9m X 3m) = 175 pc
Nime’attach picha yenye sehemu ya mchanganuo huo
Tukichora ramani 𝙏𝙪𝙣𝙖𝙠𝙪𝙥𝙖𝙩𝙞𝙖 𝘽𝙐𝙍𝙀 𝙝𝙚𝙨𝙖𝙗𝙪/idadi 𝙮𝙖 ‘𝙢𝙖𝙩𝙚𝙧𝙞𝙖𝙡’ 𝙮𝙖𝙣𝙖𝙮𝙤𝙝𝙞𝙩𝙖𝙟𝙞𝙠𝙖 𝙠𝙪𝙟𝙚𝙣𝙜𝙖 𝙢𝙥𝙖𝙠𝙖 𝙠𝙪𝙥𝙖𝙪𝙖 itakayokusaidia kujipanga na kwenda sawa na mafundi wakati wa Ujenzi kwenye hatua za awali
View attachment 2233313
View attachment 2233315
View attachment 2233316
View attachment 2233317
View attachment 2233318
Habari wakuu.
Hapa nimeleta mchanganuo wa KuJenga Apartment yenye nyumba Tano (mbili za vyumba viwili, sebule, jiko na Choo na Tatu za chumba kimoja, sebule, jiko na choo)
Tofali za msingi = 2856 (kwa kozi sita)
Tofali za Boma = 5015
Bati (za 0.9m X 3m) = 175 pc
Nime’attach picha yenye sehemu ya mchanganuo huo
Tukichora ramani 𝙏𝙪𝙣𝙖𝙠𝙪𝙥𝙖𝙩𝙞𝙖 𝘽𝙐𝙍𝙀 𝙝𝙚𝙨𝙖𝙗𝙪/idadi 𝙮𝙖 ‘𝙢𝙖𝙩𝙚𝙧𝙞𝙖𝙡’ 𝙮𝙖𝙣𝙖𝙮𝙤𝙝𝙞𝙩𝙖𝙟𝙞𝙠𝙖 𝙠𝙪𝙟𝙚𝙣𝙜𝙖 𝙢𝙥𝙖𝙠𝙖 𝙠𝙪𝙥𝙖𝙪𝙖 itakayokusaidia kujipanga na kwenda sawa na mafundi wakati wa Ujenzi kwenye hatua za awali
View attachment 2233313
View attachment 2233315
View attachment 2233316
View attachment 2233317
View attachment 2233318
🙏🏾Shukrani bossMpo vizur [emoji1319][emoji1319]
Mkuu. Tuwasiliane kwa 0717682856Namba za simu?
Nilikuwa nawaza hapa mbona privacy sifuriKazi nzuri..ila hizo apartments naona zimekaa kiswahili sana..
#MaendeleoHayanaChama
Shukrani bossKazi nzuri, muonekano bomba
Upo sahihi, Lakini Inategemeana na mahali unajenga mkuu, na ukubwa wa kiwanja pia. Isitoshe hapo ni Nyumba tano tu.Kazi nzuri..ila hizo apartments naona zimekaa kiswahili sana..
#MaendeleoHayanaChama
🙏🏾Boss.Umeweka mambo mazuri mnapatikana wapi na namba za simu haujaweka tatizo ni nini?
Gharama hutegemea mahali unapojenga boss. Tofauti ndogo inaweza kuleta jumla jumla kubwa. Siku zote ukitaka kupata gharama halisi ni vizuri “Quantity surveyor” akakufanyia BOQ kulingana na mahali unajenga.Aisee!
Ila mchanganuo bila kuainisha gharama ni sawa na kupewa ugali bila kitoweo🙄
Hiyo kama ilivyo Kiwanja kuanzia mita 18 kwa 30 bossIngependeza kama ungesema pia kuwa mchoro huo unatosha kwa uwanja wa ngapi kwa ngapi