Unaweza kujenga โ€œApartmentโ€ yenye nyumba tano kwa mchanganuo huu

Unaweza kujenga โ€œApartmentโ€ yenye nyumba tano kwa mchanganuo huu

Habari wakuu.
Hapa nimeleta mchanganuo wa KuJenga Apartment yenye nyumba Tano (mbili za vyumba viwili, sebule, jiko na Choo na Tatu za chumba kimoja, sebule, jiko na choo)


Tofali za msingi = 2856 (kwa kozi sita)
Tofali za Boma = 5015
Bati (za 0.9m X 3m) = 175 pc

Nimeโ€™attach picha yenye sehemu ya mchanganuo huo
Tukichora ramani ๐™๐™ช๐™ฃ๐™–๐™ ๐™ช๐™ฅ๐™–๐™ฉ๐™ž๐™– ๐˜ฝ๐™๐™๐™€ ๐™๐™š๐™จ๐™–๐™—๐™ช/idadi ๐™ฎ๐™– โ€˜๐™ข๐™–๐™ฉ๐™š๐™ง๐™ž๐™–๐™กโ€™ ๐™ฎ๐™–๐™ฃ๐™–๐™ฎ๐™ค๐™๐™ž๐™ฉ๐™–๐™Ÿ๐™ž๐™ ๐™– ๐™ ๐™ช๐™Ÿ๐™š๐™ฃ๐™œ๐™– ๐™ข๐™ฅ๐™–๐™ ๐™– ๐™ ๐™ช๐™ฅ๐™–๐™ช๐™– itakayokusaidia kujipanga na kwenda sawa na mafundi wakati wa Ujenzi kwenye hatua za awali.

Unaweza kutucheki kwa whatsapp: 0717682856

View attachment 2233313

View attachment 2233315

View attachment 2233316

View attachment 2233317

View attachment 2233318
Imekaa kicommunist. Well, hiyo unaweza kuimodify kidogo kila apartment ikawa na mlango upande wake ili kuongeza privacy. Architect nimemuelewa hiyo nyumba ni kweli ujenzi wake gharama zinapungua hasa tofali.
 
Hizo sio za kuishi kibongobongo,
Ni za Biashara, na uzijenge maeneo yenye usalama kama Mikocheni, Msasani, n.k
Unakuwa unakula hela ya ma expert wanaoshi bongo kwa kazi za contractor...
Kodi unakula kwa dola,
sasa mnawaza uswahili, unategemea ulete mkeo na watoto na ndugu kibao mjazane kwenye hivi viota....
 
Hizo sio za kuishi kibongobongo,
Ni za Biashara, na uzijenge maeneo yenye usalama kama Mikocheni, Msasani, n.k
Unakuwa unakula hela ya ma expert wanaoshi bongo kwa kazi za contractor...
Kodi unakula kwa dola,
sasa mnawaza uswahili, unategemea ulete mkeo na watoto na ndugu kibao mjazane kwenye hivi viota....
Watu wanaongea tu nyumba design zipo kibao na zinapendwa sana na wapangaji.
 
Yaah..kama ni apartments za familia..hizo zimekaa kiswahili sana..hakuna ukuta wakutenganisha..yani zimetazamana sana..jirani anajua kila kitu kinachoendelea kwako.

#MaendeleoHayanaChama
Uswahili mnauleta nyinyi wakazi sio design ya nyumba. Apartments zimejaa ushuani na hakuna uswahili ILA zikija uswahili ndio zinakuwa na uswahili.
 
Imekaa kicommunist. Well, hiyo unaweza kuimodify kidogo kila apartment ikawa na mlango upande wake ili kuongeza privacy. Architect nimemuelewa hiyo nyumba ni kweli ujenzi wake gharama zinapungua hasa tofali.
Design ni inafanyika kwa kushauriana na mteja husika. Na mteja ndio mwenye vision ya biashara yenyewe. Naelewa ishu ya privacy lakini inatemeana na mahali unapojenga.
 
Uswahili mnauleta nyinyi wakazi sio design ya nyumba. Apartments zimejaa ushuani na hakuna uswahili ILA zikija uswahili ndio zinakuwa na uswahili.
๐Ÿ™๐Ÿพ Boss.
Binafsi nshakaa nyumba za namna hiyo maeneo ya kinyerezi na hata washkaji wakija walikua wanahisi nyumba nyingine hazina wapangaji, na tena palikua na majengo mawili (zaidi ya nyumba 10)
 
Nzuri mkuu, ila nadhani mngeweka option mbili za mapaa kwa maana ya hizo za kawaida na contemporary...
 
Total cost ya hii nyumba ni kiasi gani na kubwa wa eneo kiasi gani

N.B ni kwa dodoma
 
Hizo Appartment kwenye mchoro kuishi mtu asiependa uswahili yahitaji moyo.

Wachoraji muwe mnawashauri wateja wenu wanapotaka ramani hasa za appartment wazingatie Privacy kati ya mtu na mtu.

wenye nyumba wengi siku hizi wanajenga nyumba za wapangaji kama mabanda ya kuku hawafikirii vitu vingi sana.

wanashindwa elewa hapa zinakuja ishi familia tofauti zenye tabia tofauti,nk.

shida kuu si kwa wenye nyumba bali ni nyie wachoraji ramani na mafundi mnafanya tuu ilimradi mle pesa.

Mshauri mtu kabla hujamfanyia kazi mueleze faida na hasara za kujenga appartments zilizokaa kama mabanda ya nguruwe,heri akuone una complicate mambo ila siku 1 atajua thaman na ubora wa kufanya kazi na wewe.

Usikubali kufanya kazi mbovu kisa mteja kataka,jifunzeni kusema HAPANA,HAIWEZEKANI msiangalie PESA tu.
 
Motivational speakers bana.
๐Ÿ˜๐Ÿ˜ kazi kwelikweli boss. Huku wajuaji ni wengi sana.
Hizo nyumba zipo sana na watu wanaishi poa tu. Hizo nyumba ni za biashara na Biashara yoyote inategemeana na โ€œTargetโ€ clients wako. Ukijenga jengo la kisasa sana uswahilini utegemee wateja wa bei ya juu kwasababu ya ubora wa jengo lako inakula kwako.
Ndiomaana nyumba ya vyumba viwili Mikocheni au Masaki utaambiwa million kwa mwezi wakati nyumba ya vyumba viwili chanika laki moja tu
Hizo Appartment kwenye mchoro kuishi mtu asiependa uswahili yahitaji moyo.

Wachoraji muwe mnawashauri wateja wenu wanapotaka ramani hasa za appartment wazingatie Privacy kati ya mtu na mtu.

wenye nyumba wengi siku hizi wanajenga nyumba za wapangaji kama mabanda ya kuku hawafikirii vitu vingi sana.

wanashindwa elewa hapa zinakuja ishi familia tofauti zenye tabia tofauti,nk.

shida kuu si kwa wenye nyumba bali ni nyie wachoraji ramani na mafundi mnafanya tuu ilimradi mle pesa.

Mshauri mtu kabla hujamfanyia kazi mueleze faida na hasara za kujenga appartments zilizokaa kama mabanda ya nguruwe,heri akuone una complicate mambo ila siku 1 atajua thaman na ubora wa kufanya kazi na wewe.

Usikubali kufanya kazi mbovu kisa mteja kataka,jifunzeni kusema HAPANA,HAIWEZEKANI msiangalie PESA tu.
 
Back
Top Bottom