Unaweza kukaa muda gani bila mapenzi/mpenzi?

Unaweza kukaa muda gani bila mapenzi/mpenzi?

Sasa nakuonyeshaje
katafute kwenye maktaba zote iwe hata kwenye internate uthibitishe kwamba huyu alikuwa mpenzi wa sir isack newton,naona mpaka sasa hujajua kusudio lako la kuwa hapa duniani,maana walojua kusudio lao wametubunia mitandao ya kijamii kama hii jamiforum,facebook,twiter n.k,wamebuni ndege,wamebuni na kuvumbua vifaa vya matibabu n.k. we una jua maisha ni ngono tu au siyo?..kuna maisha baada ya kifo ukifa utazaliwa tena mpaka utakapo kamilisha kusudio lako uliloletwa kulifanya hapa duniani, .nawasilisha mkuu
 
Back
Top Bottom