Miaka minne bila kugegeda wee sio mzimaUwaga saikolojia yangu inajiset yenyewe kama nipo kwenye mahusiano siwezagi kukaa siku tatu bila kulala au kushiriki tendo na niliye naye kwenye mahusiano
Ila kama sitakuwa kwenye mahusiano naweza kukaa hata miaka minne na nimeshawahi kukaa kipindi hicho ila sikuwaga kwenye mahusiano
Ni vilee settng tu za brain zipo comfortably kiasi gani?
AhemmmKufanya mapenziii
Una uraibuSiku 3
Sa mtajuaje kama mie mtawa parokiani[emoji4]ana nguvu ya ziada, sio jambo la kawaida aisee [emoji23][emoji23][emoji23]
Hamna, ila ujiandae kuwa na hasira kila wakati. Kuna kipindi nilikuwa nalala saa moja usiku na simu naacha sitting room😂Kuna effect zozote unaziona ama kupata ukikaa kwa mfano mwaka mzima?
I mean tofauti
nije wapi sasa...Njoo nkifundishe
Ni kweli kabisa.Uwaga saikolojia yangu inajiset yenyewe kama nipo kwenye mahusiano siwezagi kukaa siku tatu bila kulala au kushiriki tendo na niliye naye kwenye mahusiano
Ila kama sitakuwa kwenye mahusiano naweza kukaa hata miaka minne na nimeshawahi kukaa kipindi hicho ila sikuwaga kwenye mahusiano
Ni vilee settng tu za brain zipo comfortably kiasi gani?
Somjo ni nini?Acha somjo
Usianze basi..utaharibu siku na mvua inapigaapo ukija kujaribu utaifeel hadi utosini[emoji3]
Nilishakuchunguza so wadanganye kina nanihili tu na sio gentleman kama mie.Mie ni binadamu, ila sijawahi kufanya mapenzi.
Kasema inategemea na mazingira.we uko busy shamba unafukuza nyani,unawaza gunia zako 5000 utazovuna..Miaka minne bila kugegeda wee sio mzima
Unajitahidi..kuna wa masaa 24Mwezi mmoja
Kwa mda gani?Inawezekana Tena bila kupata tatizo lolote kabisa
kumbe ushaanza kuzidiwa😂 huu mwaka hauishi.... au una sababu za msingi??Usianze basi..utaharibu siku na mvua inapiga
Parokianinije wapi sasa...