Unaweza kukaa muda gani bila mapenzi/mpenzi?

Unaweza kukaa muda gani bila mapenzi/mpenzi?

Kasema inategemea na mazingira.we uko busy shamba unafukuza nyani,unawaza gunia zako 5000 utazovuna..
Ni tofautia na anaeshinda bar full wanawake waliovaa kimitego au uko ndani kila siku uko na mke..
So mawazo ya kufanya yatakujia depending na mazingira unayojiweka
Miaka minne hunaga hamu ya kugegeda mbona ulokole wako waki uwongo uwongo🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom