Nimesikitika sana kumbe utanipiga kiasi hikiππKwanini baba ake mzazi asimpe hiyo FIGO?
Mwili wangu ni mtukufu, siwezi kuchomoa figo langu nilibandike kwa kipusa ambaye tumekutana tu bar nikamtandika hogo akaanza kujiita MAMA KOMWE!
Siku atakayoniomba figo ntamcharaza kweli kweli ntampa kichapo cha GOVINDA au VAN DEO, namsawazisha meno yote ya mbele. EBOO!! FAMCHEZO!
Cc: Lamomy Extrovert Poor Brain Yohimbe bark dronedrake Maghayo
Yote mabonge halafu meupe peeeh.!!Hivi kuna Mshangazi mwembamba kweli au Nimeyatimba ππ
Hili lakwangu lina mihela , Tatizo linanipa wasiwasi ni jeusi , Jembamba halafu lina confidence hatarii ππYote mabonge halafu meupe peeeh.!!
Ukilikuta jeusi basi halina maokoto ππ
Hapo kimbia mkuu utanyonywa damu ππHili lakwangu lina mihela , Tatizo linanipa wasiwasi ni jeusi , Jembamba halafu lina confidence hatarii ππ
Kila likiomba mzigo naruka ruka ππHapo kimbia mkuu utanyonywa damu ππ
Kila likitaka Show naumwa ghafla ila halikomi ππHapo kimbia mkuu utanyonywa damu ππ
Ikitokea issue kama hii unachonga na dkt, apime aseme hazimatch. Ili mchuchu, Asijue kua ile kauli ya kifo kitutanganishe ndo wakati wake huuSi mpaka zi match, za kwetu najua haziwezi ku match.
...atakuwa ni lous Figo tu nadhaniUnamaanisha figo ile organ inayokaa ndani ya mwili ambapo kuiona tu ni mpaka wakupasue?
Au una maanisha Figo yule winga wa zamani aliyecheza Madrid na Barcelona?
Tuelewane kabiaa hapo..
Mke, naweza. Mpenzi NONi kawaida katika Mahusiano kupeana ahadi nzuri sana, Mnapendana kuliko kawaida na kufanyiana mengi mazuri.
Ingawa katika Mahusiano kuna Changamoto kubwa na ndogo.
Changamoto nyingine zinaweza kutatulika nyingine zikashindwa kutatulika.
Lakini mwisho wa Siku Maisha lazima yaendelee.
Sasa Je unaweza kumtolea Figo Kipenzi chako?
Zingatia: Hii haihusiani ndugu.