Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Nyie hamna upendo wa kweliNa mtu anaye fanya hivo tumpime akili pia ππππ
Kama ni mdogo angu aiseee nampeleka kwa mwamposa kwanza
π€huogopi?NAWEZA
Mbona simpleNampa figo kwa sharti anizalie mtoto Moja
Niogope nini?π€huogopi?
Kuachwa huku figo imeendaNiogope nini?
Hakuna shida cha umuhimu aende huku akijua ninampenda.Kuachwa huku figo imeenda
Kumbe una mahaba ya wazungu wa zamaniπHakuna shida cha umuhimu aende huku akijua ninampenda.
Nyau wewe πKumbe una mahaba ya wazungu wa zamaniπ
Hahaha. Yaani huyu kisirani nimtolee Figo!Uzuri me mlevi muda mrefu i guess figo langu lenyewe lina ma shido halimfai
Njoo chukua Figo tusaini mkatabaMbona simple
Sometimes unachangia mada kama Ke mara nyingine kama meπKwanini baba ake mzazi asimpe hiyo FIGO?
Mwili wangu ni mtukufu, siwezi kuchomoa figo langu nilibandike kwa kipusa ambaye tumekutana tu bar nikamtandika hogo akaanza kujiita MAMA KOMWE!
Siku atakayoniomba figo ntamcharaza kweli kweli ntampa kichapo cha GOVINDA au VAN DEO, namsawazisha meno yote ya mbele. EBOO!! FAMCHEZO!
Cc: Lamomy Extrovert Poor Brain Yohimbe bark dronedrake Maghayo
Ngoja akwambie mzalie pachaSi bora nichukue figo isiyo na masharti kwa min -me π
Anachanganya kisungura cha buku & energyWewe kunywa visungura huko , halafu nije kukupa figo , sinaga figo ya mchezoππ
Hii noma sanaπAnachanganya kisungura cha buku & energy