Unaweza kumtolea Figo Mpenzi wako, Mke au Mume wako?

Unaweza kumtolea Figo Mpenzi wako, Mke au Mume wako?

Nimemuangalia huyu Baba hapa pembeni nikawaza aumwe then nisimtolee? hapana nitamtolea tu akija kunisaliti basi ila sitoweza kumuacha afe kwa kitu ninachoweza msaidia! maumivu ya kumuona anakufa yatakua ni makubwa zaidi ya usaliti wake.
 
Kwanini baba ake mzazi asimpe hiyo FIGO?

Mwili wangu ni mtukufu, siwezi kuchomoa figo langu nilibandike kwa kipusa ambaye tumekutana tu bar nikamtandika hogo akaanza kujiita MAMA KOMWE!

Siku atakayoniomba figo ntamcharaza kweli kweli ntampa kichapo cha GOVINDA au VAN DEO, namsawazisha meno yote ya mbele. EBOO!! FAMCHEZO!

Cc: Lamomy Extrovert Poor Brain Yohimbe bark dronedrake Maghayo
Sometimes unachangia mada kama Ke mara nyingine kama me🙌
 
Back
Top Bottom