Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Nyie hamna upendo wa kweliNa mtu anaye fanya hivo tumpime akili pia 😂😂😂😂
Kama ni mdogo angu aiseee nampeleka kwa mwamposa kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie hamna upendo wa kweliNa mtu anaye fanya hivo tumpime akili pia 😂😂😂😂
Kama ni mdogo angu aiseee nampeleka kwa mwamposa kwanza
🤔huogopi?NAWEZA
Mbona simpleNampa figo kwa sharti anizalie mtoto Moja
Niogope nini?🤔huogopi?
Kuachwa huku figo imeendaNiogope nini?
Hakuna shida cha umuhimu aende huku akijua ninampenda.Kuachwa huku figo imeenda
Kumbe una mahaba ya wazungu wa zamani🙄Hakuna shida cha umuhimu aende huku akijua ninampenda.
Nyau wewe 😁Kumbe una mahaba ya wazungu wa zamani🙄
Hahaha. Yaani huyu kisirani nimtolee Figo!Uzuri me mlevi muda mrefu i guess figo langu lenyewe lina ma shido halimfai
Njoo chukua Figo tusaini mkatabaMbona simple
Sometimes unachangia mada kama Ke mara nyingine kama me🙌Kwanini baba ake mzazi asimpe hiyo FIGO?
Mwili wangu ni mtukufu, siwezi kuchomoa figo langu nilibandike kwa kipusa ambaye tumekutana tu bar nikamtandika hogo akaanza kujiita MAMA KOMWE!
Siku atakayoniomba figo ntamcharaza kweli kweli ntampa kichapo cha GOVINDA au VAN DEO, namsawazisha meno yote ya mbele. EBOO!! FAMCHEZO!
Cc: Lamomy Extrovert Poor Brain Yohimbe bark dronedrake Maghayo
Ngoja akwambie mzalie pachaSi bora nichukue figo isiyo na masharti kwa min -me 🙄
Anachanganya kisungura cha buku & energyWewe kunywa visungura huko , halafu nije kukupa figo , sinaga figo ya mchezo😁😁
Hii noma sana😁Anachanganya kisungura cha buku & energy