BIG NO... WAFANYAKAZI WOTE WA BAR NI MALAYA hilo halina ubishi sababu nimewahi kumiliki bar naelewa kila kitu.. Hakuna binti mlokole bar jichanganye uoneKwani wanaofanya kazi wote bar ni malaya?? Mule si kuna wanaume pia kwani wale hawana wake zao nyumbani? Wakati mwingine umalaya nimtabia ya mtu, mbona wapo wenye kazi nzuri na ndoa zao lakini ni wazinzi wakubwa? Si wote wanaofanya kazi bar ni malaya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari sana wewe.
Hapo unaenda kuoa Ngono KanteMwanamke akifanya kazi bar anaweza kuwa mwaminifu? Unaweza kumuoa akawa mke mwema?
Vipi kuhusu yafuatayo
1.Kuendelea na tabia ya kuona kwamba ni jambo la kawaida kutoa penzi akapewa hela?
2.Kuwachukulia watu wote bila staha na akawaona kama wale walevi wa bar alokuwa anawahudumia?
3.Ulevi je?
upo sahihi sana mkuuK
Kama umeshakolea kwa bar maid we weka ndani tu! Funika akili, fungua moyo! Ukweli utaupata baada ya kufanya practical, utakayoambiwa hapa ni ya kusadikika, kudhaniadhania tu...hayatakuwa na ukweli maana ukweli upo kwa huyo huyo!