Unaweza kuoa/kuolewa na mtu mwenye changamoto ya usikivu/ulemavu?

Unaweza kuoa/kuolewa na mtu mwenye changamoto ya usikivu/ulemavu?

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
Kuna jamaa yang ana shida ya kutosikia vizuri, anasema tatizo alilonalo limemfanya awe anakosa mwenza (Anakataliwa).

Ni kweli kuwa watu wenye changamoto ya ulemavu wanatengwa na jamii?
 
Kuna jamaa yang ana shida ya kutosikia vizuri, anasema tatizo alilonalo limemfanya awe anakosa mwenza (Anakataliwa).

Ni kweli kuwa watu wenye changamoto ya ulemavu wanatengwa na jamii?
Hasikii kabisa au Huwa angalau anasikia Kwa kawaida au mfano Kuna wengine unaweza ishi nao mda mrefu tu na usijue kama wako na shida ya usikivu , je yupo kundi Gani apo
 
Mwambie asifocus katika udhaifu wake hiyo utamuangusha.

Mfano akiwa anaanza mahusiano mapya anaweza Kutumia njia ya kuwasiliana kwa simu

Baadae mchumba wake akimuelewa anaweza kumwambia kuwa yuko na tatizo


Inshort binadmu hupenda ukamilifu kwa watu .

Ulemavu wowote ukiugeuza in positive way waweza kupata wa kuendana naye.
 
Mwambie asifocus katika udhaifu wake hiyo utamuangusha.

Mfano akiwa anaanza mahusiano mapya anaweza Kutumia njia ya kuwasiliana kwa simu

Baadae mchumba wake akimuelewa anaweza kumwambia kuwa yuko na tatizo


Inshort binadmu hupenda ukamilifu kwa watu .

Ulemavu wowote ukiugeuza in positive way waweza kupata wa kuendana naye.
Nimempa ushauri Kama wako, ila jamaa ameshakata tamaa.
 
Mapenzi ya kweli hayaangalii ukilema wa mtu,watu wanaoa bubu,ni swala la kupendana kwa dhati hapo hakuna kingine,unaoa mwanamke anasikia vizuri lakini kilema chake ni kutokuwa mchoyo, sasa hapo utakuwa umekwepa nini...?
 
Kuna jamaa hapa mtaani kwetu ana ulemavu wa kusikia na kaoa mwalimu wa Sekondori na wana watoto wako fresh tuu. Mwambie atafute hela
Hana maisha mabaya, kiufupi jamaa sio tajiri na wala sio fukara.
 
Mapenzi ya kweli hayaangalii ukilema wa mtu,watu wanaoa bubu,ni swala la kupendana kwa dhati hapo hakuna kingine,unaoa mwanamke anasikia vizuri lakini kilema chake ni kutokuwa mchoyo, sasa hao utakuwa umekwepa nini...?
Dunia yasasa haingalii upendo wa kweli, inaangalia ulichonacho zaidi.
 
Mpe namba yangu ya WhatsApp tuwasiliane

Huyo kakutana na rejection ambazo ambazo ameanza kujenga negativity towards women and relationship.
Unachosema ni kweli kabsa.

Nimeshindwa kumsaidia zaidi ya kumwambia aache kujikatia tamaa.

Nimegundua hawa ndugu zetu wenye shida ya ulemavu wanatengwa sana na jamii zetu.
 
Back
Top Bottom