Yani jamaa walipata ajira kwa sifa ya cheti ya kidato cha nne, baada ya muda kidogo waliji organise tu wakaenda OU wakapewa muongozo kila mtu alichagua alichoona anamudu na kwa wakati wake akaanza mafunzo.
Kiukweli walikuwa serious na walikomaa sana fikiria tokea Certificate hadi ufike Bachelor degree ni safari ndefu.
Baadae walipeleka vyeti vyao mahali husika taratibu zikafanyika.