Unaweza ukawa na PhD ya Bongo na Performance yako ikawa sawa au Chini ya Mtu Mwenye Degree Moja

Unaweza ukawa na PhD ya Bongo na Performance yako ikawa sawa au Chini ya Mtu Mwenye Degree Moja

Nadhani bongo bado hatuna uwezo wa kutoa watu wenye Master na Phd na wakatoka na vigezo vya hizo elimu.
 
Wazee wa zaman hawakua na PHD Wala kisomo Ila walikua na ELIMU kubwa na waliweza kuyatawala maisha yao..

NB:
Ukiwa na PHD ambayo haikusaidii kuweza kutawala Maisha YAKO hauna tofauti na kina """JOHN KISOMO"""

Kuna tofauti kidogo kwenye ELIMU kuelimika na ELIMU vyeti...

ELIMU kwangu inabakia kua confidence na huwaga sinaga EXCUSES Kama rafik yangu mmoja ambae hujilaumu ""NINGESOMA"" so ELIMU kwangu Ni ngao na nyenzo muhimu ya kupambana na maisha DEGREE ZANGU ZOTEE ZIPO KABATINI na Wala sijawai kuniona Bora ama kujivuna na kujiweka mbali na jamii yangu..

✍️ Dr am 4 real PhD
Kuna Alisoma akawa anajivuna au hizi kauli munawalisha tu waliosoma nachoshangaa na wewe umesoma still unatumia hizi kauli za "anajifanya msomi"
 
Nimefanya kazi na watu watu wenye elimu (academic performance)mbalimbali na uzoefu mbalimbali (working experiences) kwenye fani mbalimbali (faculties).

Kwa sasa ninaweza kuthibisha kati ya waliofanya kazi na mimi basi wale waliokuwa na PhDs walikuwa na ufahamu na ufanisi mzuri (competency and skills) mkubwa kuliko wale wenye masters na degree moja kwa wingi wao.

Ila kilichonishangaza na kunifanya nitoke na andiko hili ni kwamba kuna PhDs nyingine zilinishtua na kunifadhaisha sana, hasa kwenye uwezo wao wa kujenga hoja za kisayansi, kumake a case, kuanalyse na kusumarize content, kunarrate na kuelezea plans na findings kisayansi kunatia mashaka

Wengi kati ya hao performers ambao hawakumeet my expectation according to their level of education wamepatia PhD zao either hapa hapa Bongo au ni zile za thesis bila kufanya comprehensive research. Kibaya nyingi ni za faster-faster kwa kutumia project research ambazo either zilifanywa na team ya wataalamu kama project , wao wakazitumia kuzishap na kuziredesign na kuandikia maandiko ya PhD

Ebu tupatie uzoefu wako ya wataalamu wetu hawa bila kutumia lugha ya kusikashfu hizi PhDs na tunajua nyingine chache hasa wa vyuo vikuu ilibidi zifutwe ?

Naomba nieleweki sina wivu na ninawapongeza kwani msoto wa PhD sio mchezo na simahanishi hakuna PhD nzuri za Bongo wala simahanishi PhD za harakaharaka za thesis-bases ni mbaya, ila kwa uzoefu wangu nimeconclude kulingana na personal observation .

Lesson learnt ni kwamba siku nikitaka kuchukua PhD basi itanibidi nijitahidi nijue niichukulie wapi na iwe ya aina gani na modality ipi?. This is my personal obervation so my conclusion, please don't take it personal, I might be wrong since my conclusion was not derived from scientific analysis thus sikuweza kucontrol other confounders (variables) ambazo ni nyingi.
Upo sahihi
Turejee yule Profesa wa vinyesi mto Mara
 
Tanzania tuna shida moja, hatu utilize wasomi based on walichokisomea. Leo wizara hii ina mtu ana phd ya kitu kingine kabisa. Leo tuna mkuu wa idara fulani kasomea hiki lakini anapews majuku mengine kabisa. Unadhani ata perform?

Elimu yetu watu wanasoma wapate pesa, si kuitumikia elimu. Ni wachache sana
Hoja YAKO haieleweki embu iweke vyema..

Niweke wazi ukiwa na AKILI na utamaduni wa kusaka MAARIFA Leo hii unaweza kuongoza jopo la upasuaji wa moyo na operation ikaenda powaaa..
Kuna Alisoma akawa anajivuna au hizi kauli munawalisha tu waliosoma nachoshangaa na wewe umesoma still unatumia hizi kauli za "anajifanya msomi"
Mkuu,
Wapo watu wanajifanya """wasomi """ utakuta mtu broken English nyingi WAKATI yupo """"mwabagalu""" broken English YAKO haisaidii kitatua kero za Wananchi..

Hujawai kuona watu ambao ELIMU zao zimefanya wajione kua wao Ni Bora kuliko wengine ama wawe wajivuni na kujiwekea mipaka na jamii zao "" superiority complex"""

Tembea ujionee dunia imebeba mengi..

NB:
KAMA ELIMU YAKO ITAKUFANYA UJIVUNE, KIBURI, DHARAU NA KUJIONA WEWE NI BORA KULIKO WATU AU JAMII YAKO BASI MAKABURI YANGEJISIFIA MAANA YAMEFUKIA MAELFU NA MAELFU YA WASOMI
 
Nimefanya kazi na watu watu wenye elimu (academic performance)mbalimbali na uzoefu mbalimbali (working experiences) kwenye fani mbalimbali (faculties).

Kwa sasa ninaweza kuthibisha kati ya waliofanya kazi na mimi basi wale waliokuwa na PhDs walikuwa na ufahamu na ufanisi mzuri (competency and skills) mkubwa kuliko wale wenye masters na degree moja kwa wingi wao.

Ila kilichonishangaza na kunifanya nitoke na andiko hili ni kwamba kuna PhDs nyingine zilinishtua na kunifadhaisha sana, hasa kwenye uwezo wao wa kujenga hoja za kisayansi, kumake a case, kuanalyse na kusumarize content, kunarrate na kuelezea plans na findings kisayansi kunatia mashaka

Wengi kati ya hao performers ambao hawakumeet my expectation according to their level of education wamepatia PhD zao either hapa hapa Bongo au ni zile za thesis bila kufanya comprehensive research. Kibaya nyingi ni za faster-faster kwa kutumia project research ambazo either zilifanywa na team ya wataalamu kama project , wao wakazitumia kuzishap na kuziredesign na kuandikia maandiko ya PhD

Ebu tupatie uzoefu wako ya wataalamu wetu hawa bila kutumia lugha ya kusikashfu hizi PhDs na tunajua nyingine chache hasa wa vyuo vikuu ilibidi zifutwe ?

Naomba nieleweki sina wivu na ninawapongeza kwani msoto wa PhD sio mchezo na simahanishi hakuna PhD nzuri za Bongo wala simahanishi PhD za harakaharaka za thesis-bases ni mbaya, ila kwa uzoefu wangu nimeconclude kulingana na personal observation .

Lesson learnt ni kwamba siku nikitaka kuchukua PhD basi itanibidi nijitahidi nijue niichukulie wapi na iwe ya aina gani na modality ipi?. This is my personal obervation so my conclusion, please don't take it personal, I might be wrong since my conclusion was not derived from scientific analysis thus sikuweza kucontrol other confounders (variables) ambazo ni nyingi.
Wewe wataje tu hao wanasiasa.
 
Inaonekana uwezo wako wa kusoma andiko una mapungufu mengi. Kila ulichoongelea nimekitaja ila nimeconclude strength na weakness ya conclusion yangu. Ila sio mpaka uwe na PhD ndipo uwe na uwezo wa kufanya research, wengi wana publication kibao lakini hawana PhD. Na ninafikiri wewe ni mmoja kati ya waliotajwa hapo kwani umereact irrationally. Kumbuka na ninarudia tean na nimesema hii ni obsevation research mara nyingi ina strength na weakness zake. Rudia kusoma andiko vizuri limejieleza lenyewe. Paragraph ya pili imetoa general conclusion, ila kuna baadhi ya outlayers ndio niliowaongelea.Pole kama nimekukwaza
PhD ndiyo inakupa uhalali wa kuwa Researcher otherwise ni Research assistant tu.
 
Hoja YAKO haieleweki embu iweke vyema..

Niweke wazi ukiwa na AKILI na utamaduni wa kusaka MAARIFA Leo hii unaweza kuongoza jopo la upasuaji wa moyo na operation ikaenda powaaa..

Mkuu,
Wapo watu wanajifanya """wasomi """ utakuta mtu broken English nyingi WAKATI yupo """"mwabagalu""" broken English YAKO haisaidii kitatua kero za Wananchi..

Hujawai kuona watu ambao ELIMU zao zimefanya wajione kua wao Ni Bora kuliko wengine ama wawe wajivuni na kujiwekea mipaka na jamii zao "" superiority complex"""

Tembea ujionee dunia imebeba mengi..

NB:
KAMA ELIMU YAKO ITAKUFANYA UJIVUNE, KIBURI, DHARAU NA KUJIONA WEWE NI BORA KULIKO WATU AU JAMII YAKO BASI MAKABURI YANGEJISIFIA MAANA YAMEFUKIA MAELFU NA MAELFU YA WASOMI
Am telling you that kwasababu hii tabia ya "Anajifanya Msomi" naona sana na important mizizi na walioshia lasagna wamekuwa wakiwaingizia hio tabia wasomi.

Kama mtaani kwetu unajua ile maskani atleast waliosoma wanafika watano (5) hii Maisemore na maneno ya wanajifanya wasomi kuwalenga hao jamaa watano inatokea sana kwa mada za kawaida kaqaida tu ila hao waliosoma sijawai kuona wameejita wasomi, wamejifanya wasomi, au kujiona ila hizi kauli wanabebshwa, huyu Alisoma akiwa yupo down kidogo kiuchumi "Siunajifanya umesoma" akiwa yupo hali fulani hivyo hivyo "Siunajifanya msomi"


Sasa nimeshangaa mpaka wewe ulisoma bado unakuwa na hizi act kama ninyi muliosoma munashindwa kujua hizi MOCKING ACT zidi yenu na ninyi kuji MOCK wenyewe sielewi.
 
Jamaa mbona kama unatufatilia sana, tupumzishe sisi hatutaki mambo mengi

Tutazidi kununua PHD na maisha yataendelea
 
Nadhani bongo bado hatuna uwezo wa kutoa watu wenye Master na Phd na wakatoka na vigezo vya hizo elimu.
Sure. we need to conduct root cause analysis to identify the gaps to address . Hatuwezi tukawa na graduates wa vyeti tu.
 
Usimdharau yule Proff ww na ukoo wako hamumfikii hata punje.
Nafikiri suala si kumdhalau, suala la msingi ni kwamba alipotoka. Na jamii tumemjia juu kwa sababu ya usomi na level yake ya elimu, uchumi na uzoefu haikuendana na kauli aliyotamka. Laiti angetamka layman wa kawaida pasingekuwapo na backfiring voice kama zile. Kwa hiyo msomi mwenye kipato chake kizuri akichemka hatakiwi kuambiwa ukweli.
 
Hoja YAKO haieleweki embu iweke vyema..

Niweke wazi ukiwa na AKILI na utamaduni wa kusaka MAARIFA Leo hii unaweza kuongoza jopo la upasuaji wa moyo na operation ikaenda powaaa..

Mkuu,
Wapo watu wanajifanya """wasomi """ utakuta mtu broken English nyingi WAKATI yupo """"mwabagalu""" broken English YAKO haisaidii kitatua kero za Wananchi..

Hujawai kuona watu ambao ELIMU zao zimefanya wajione kua wao Ni Bora kuliko wengine ama wawe wajivuni na kujiwekea mipaka na jamii zao "" superiority complex"""

Tembea ujionee dunia imebeba mengi..

NB:
KAMA ELIMU YAKO ITAKUFANYA UJIVUNE, KIBURI, DHARAU NA KUJIONA WEWE NI BORA KULIKO WATU AU JAMII YAKO BASI MAKABURI YANGEJISIFIA MAANA YAMEFUKIA MAELFU NA MAELFU YA WASOMI
Nakubaliana na wewe mkuu. Well said.
 
Mnnh mie kwa bongo sionagi tofauti yoyote ya msomi na mtu asiesoma, wote level yao moja tu. Na tena ambae hajasoma anaweza kumzidi aliesoma katika kuchanganua mambo. Ni hivi baba levo au mwijaku hawana tofauti na mwigulu au nape. Waziri wa fedha anasema mambo mazuri kwa vile number za magari zinasonga ???Kweli???
Ni vyema umeanza na mie,, ingawa hoja za mie yako hazina Uzito ,, umedhihirisha tu umuhimu wa elimu.
 
Back
Top Bottom